MEENA ALLY AMJIBU ALLY KAMWE KWA KUMKOSOA KUHUSU GOLI LA CHAMA,WAKATI RIO FERDINAND AKILISIFIA!!
ADVERTISEMENT
Comments 45
nermin.täsche:
Meena Ally umekosea sana,ungemuhoji RIO goli la Mwamyeto dh…
More Like This
1:05
HII NDIO RECORD MPYA YA KIKOSI CHA TIMU YA YANGA
Sports
160
2
5:35
Arsenal vs Coventry City 3-0 Highlights & All Goals (Premier League 2026/27) Arsenal Coventry
Sports
858
0
1:56:13
Arsenal vs Coventry City I Video Game Simulation I eFootball PES 2021 Live Stream I 22 August, 2026
Sports
326
2
0:16
Phillies lands All-Star closer to Jhoan Duran before the MLB trade deadline 0° 👀🔥 #jhoanduran
Sports
1.5k
2
0:12
What else were you expecting, Liam? 🤨#F1 #RedBullRacing #DutchGP
Sports
12.5k
0
0:11
His Robot Broke In Front Of Him 💔
Sports
2.2k
11
2:59
Who's on my head? - Viktor Gyökeres and Leandro Paredes
Sports
9.5k
0
0:47
Ranking The Best Aura Soccer Moments 2
Sports
10.1k
8
You've reached the end
Meena Ally umekosea sana,ungemuhoji RIO goli la Mwamyeto dhidi ya Dodoma jiji ndio wapuuzi wangekufurahia.
Hongera Meena Ally kwa kazi nzuri sana.. achana na nyuma ya mwiko hao wamekosa dira ya maisha..
KUTESA KWA ZAMU yanga tulieni
NI KWELI IBRA ALIFUNGA ILA KILA MTU NA WAKATI WAKE NZINZE ALIFUNGA SAKHO ALIFUNGA NA CHAMA AMEFUNGA KAZI NZURI DADA BARIKIWA MAANA NI UKWELI CYO UONGO CHAMA AMEFUNGA SIMBA NGUVU MOJA
Kama wanaumia si na wao wakamuonyeshe ile clip ya okelo na d
Mashabiki wa yanga kama wanapendwa kuibwa wao tu hawapendi kabisa Simba awe trendi ila kumbukeni mlimfunga Simba goal 5 muliibwa sana ila mashabiki wa Simba walitulia so tulieni zamu ya Simba
Ali kamwe wacha ushamba na roho ya hasad, kwan rio ni mwanasoka na ameonyeshwa goli la soka. Au kaonyeshwa goli la upare pale?
Huyu mpare Ali Kamwe ni hasidi asiyependa maendeleo ya mtu.Ameona Meena Ally amefanikiwa kwa hiyo roho yake ya chuki na husda.Meena Ally keep up the good work.You are a bright and clever journalist.
Bao kali sana lazima ali ukubali tu
Ali Kamwe yupo sahihi namuunga mkono
Goli limekuwa kama taharabu
Shida NI Wivu ,Ikiwa Na Wivu Utakosoa Kila Mafanikio Ya Mtu Hongera Mtangazaji , MUNGU Aendelee Kukuheshimisha , Naaandika Nikiwa KENYA NRB ,Maana Yake ,UmetambacDuniani,
Lugano endelea kuwaelimisha hao yanga yamkini wakaelewa utofauri mpira na utofauti wa jina yanga.
Ahojiwe tunajipangaje na tujiandae tuache usimba,yanga,Azam na singida akiwa kwenye hiyo perspective atakosa ungwa mkono na kupata maoni na timu zote
Lakini tangia lini mina akawa mchambuzi ama mtangazaji wampila 😂😂
Uko.vizuri.dada
Dada.kajibu vizurii sanaa
Kwanza lugha ya mena Ali hawezi
Huyu dada nimempenda sana atafika mbali sana
Shida ni kushindwa kujua Nini uongee na wapi hiyo ndio shida utani wetu Kuna sehemu hatupaswi kuzinguana