Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Yanga SC wamepoteza mchezo kwa mara ya kwanza msimu huu, wakichapwa 3-2 na Dodoma Jiji, mchezo, mchezo ukipigwa Airtel Stadium, Singida. Magoli ya Yanga yamefungwa na Allan Okello dakika ya 2 na 41, huku magoli ya Dodoma Jiji yakitoka kwa Bakari Mwamnyeto aliyejifunga dakika ya 29, Mwana Kibuta David dakika ya 90 na Wazir Junior Shemtembo dakika za nyongeza. Haya hapa magoli yote..
ADVERTISEMENT
Wanasimba mko wapi?😁
😂Like za Simbaaaa hapa
Jmn hilo goli la pili la yanga au mm ndo sijui offside
Wanasimbaa tupoooo!!!!!!
Like za simbaaaaaa🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Goli la okelo la pili ni off side kabisa
Hii mechi ni tatu kwa moja ,goli la pili la yanga ni clear offside waamuzi hawa kwa kuibeba yanga da.
Kwanza goli la pili la yanga offside wazi wazi
Siku ya kufa nyan miti yote huteleza😂😂😂😂
Goal la pili la okelo ni clear ofside
Hii clip nainunua Kwa mil.2😂😂😂😂😂😂😂😂
Goli la pili la yanga ni OFFSIDE pro max
Goal la Yanga la Pili ni clear offside.
Huwa mdogo akimpiga mkubwa ni furaha kubwa sanaaaaaa😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣kumeanza kuchangamka wanangu wa SIMBA SC HI!👋
Goli la pili offside okeroo
Pamoja na kupata goli la pili la offside ila wakashenyentwa ila utopolo bana,malipo ni hapa hapa
Leo nchi imepoaaaaa 😂😂😂😂
Tume furahi wengi chura kufungwa😂
star wa leo ni mwanyeto ndio mchezaji bora😅😅😅😅😅😅i🎉🎉🎉🎉