Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Yanga SC wamepoteza mchezo kwa mara ya kwanza msimu huu, wakichapwa 3-2 na Dodoma Jiji, mchezo, mchezo ukipigwa Airtel Stadium, Singida. Magoli ya Yanga yamefungwa na Allan Okello dakika ya 2 na 41, huku magoli ya Dodoma Jiji yakitoka kwa Bakari Mwamnyeto aliyejifunga dakika ya 29, Mwana Kibuta David dakika ya 90 na Wazir Junior Shemtembo dakika za nyongeza. Haya hapa magoli yote..
ADVERTISEMENT
Siku mbaya sana kwa Mwamnyeto
Goal 1 solowenyuu. Goal 2. Mbukwenyi Goal 3. Mihanyenyii
Ya tabora yamejirudia tena kwa yanga hii mkibeba ubingwa mniite mbwa nimekaa pale😂
Clear offiside 2 goal
Asante sana Dodoma yetu❤❤❤
Man of the match Bakari Mwanyeto 😂😂😂
Tupo kakaaaa imependezwa Utopolo kupoteana jana am so happy❤
Tupoooo wana simbaaaaaa mwanzo mwisho ❤❤❤One Power
Safiiiiiiiiiiiii ❤❤❤
😂😂yanga amekufa akiwa amekenua😂😂
Ni atari sana😥😥😥😥
wana yanga naombeni like hapa sio kwa ubaya
Hii inafurahisha sana 😊
Magoli kama ya EPL 😂😂😂. Well Done Dodoma Jiji Fc
Goli la 2 la Allan Okelo ni clear offside
Congratulations Coach Rwanda 🇷🇼 Mashami
Goli la pili la yanga ni OFFSIDE pro max
Hii mechi ni tatu kwa moja ,goli la pili la yanga ni clear offside waamuzi hawa kwa kuibeba yanga da.
Mmenifanya nicheke peke yangu usiku ila mwamnyeto noma sana
Nimeipenda hyo😂😂😂