Synopsis - Ndugu wanaishi na laana ya kizazi, mpaka kizazi cha nne bila wao kujua. Film Title: 4th Generation Directed by Toyin Abraham on @https://youtube.com/@ToyinAbrahamTv1?si=7G4gFc3thSf9RFW6 Stream the full film here: https://youtu.be/J1oe4HLENaI?si=9BZoo7OY1qc5e6CM For takedown or promo requests: [email protected] Background Music Credits: Alex Productions - ‘Elite’ is licensed under Creative Commons BY 3.0: https://creativecommons.org/licenses/... 🎧 Music: • 🤯 Trailer (Free Music) - "ELITE" by @alexp... 🎼 Channel: @alexproductionsnocopyright #zeelakutune #zeelatown #e7bits #izkonka
ADVERTISEMENT
Hii sio movie tu hii ipo kweli kwenye maisha yetu ya kila siku,tunaishi kwenye maagano ya mababu zetu na yanatuumiza bila sisi kujua tumtangulize MUNGU sana kwenye sala/maombi yetu atusaidie kututoa kwenye hizo laana na maagano waliyoyafanya yasitufate sisi pamoja na watoto wetu🙏,hongera sana konka kwa kutuletea somo zuri
Hivi azam hii sauti hawaisikii konka kaka salute 🫡
Watu wengi saan tunaish iv ila tunapuuzia ndoto tuw makini n ndoto tunaz ota akiii😢
Daaahhhh ya leo kali bro
Hii ni muvi lakini kwenye familia zetu haya yapo kabisaa na wanaoumia na hayoaagano waliyoweka mabibi na mababu zetu ni kizaz hiki ambacho hatujui chochote kuhusu mizimu wala hayo maagano kibaya zaidi unakuta wazee wote kwenye ukoo walishakufa 🙌🏼🥺Eenh Mungu tusaidie
Izkonka on 🔥🔥
Izkonka zee la kutune zee la town e7bits MABEGANI💪💪💪💪
Aaaah konka naskitika kukawiya kupata iyi récap mapema kweli 😭😭😭 Nisha bikiako kutoka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
🎉😂kali sana
e7bits ndo life 💪💪
Twakupenda sana E7bit movies zako nzuri sana tuletee kama hizi kwa wingi
Nilikuwa nimesha itizama ila naitizama tena kwa sababu yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
ALLAH AKBAR [M/MUNGU NI MKUU ZAIDI]
Leta konka kilasikuu kaka❤❤❤
una ni inspire sana kaka
like zangu kumi tu😃
penda sana, simulizi zako kaka
Konka, to be honest, your very talented yaan una jua sana 🙏🏼 nina ombi kaka umewah tupigia ile movie 🎬 ambayo uki angalia tu TV you must die kwenye ile movie hauku tu tendea aki nakuomba uipige tena yote mwanzo mwisho
Wa mwisho
Naomba tuleteee ngoma mpiya kila siku please 🙏