MCHUNGAJI:AWALILIA YANGA ISHU YA UWANJA,50/50? MANAYAKE GSM ATAKULA YANGA MILELE AMKENI MMEPIGWA
ADVERTISEMENT
Comments 100
matthewmist72:
😁wananchi tumeamua eneo lifanye biashara limekaa tuu miaka …
More Like This
13:54
ISHU YA SELEMANI MWALIMU NA SIMBA YAANZA UPYAA/"SI WALIMUIBA? WAMCHEZESHE"- AHMED ALLY.
Sports
248
45
0:24
Lehmann VS Palmer VS Haaland VS Messi VS Ronaldo #shorts
Sports
61.0k
100
0:23
No Springboks Excuses🥴🇿🇦🇳🇿 #springboks #allblacks
Sports
696
0
1:01
RASSIE SHOUTS OUT THE DSPN
Sports
1.1k
90
0:15
Erling Haaland With A NICE New Haircut 💇♂️
Sports
14.7k
100
0:24
Did you see it the first time ? Prime Kaka was insane #football #footballskills #footballshorts
Sports
28.7k
100
1:42
Who's on my head? - Anthony Gordon or Rayan Cherki
Sports
9.0k
100
1:39
GUESS THE FOOTBALL TOWER!
Sports
13.8k
0
You've reached the end
😁wananchi tumeamua eneo lifanye biashara limekaa tuu miaka 90 haliingizi kitu sasa GSM akijenga uwanja na maduka pale tukagawana pesa shida iko wapi na Hela itakayotumika hapo ni mabilioni sasa we mchungaji endelea kusubiri huyo mwekezaji wa kukujengea uwanja wa Bure utazeeka ukiungojea sisi tunajenga na GSM inaumaa ee
Mchungajii unaumiaa pole kunywaa brufeni😂😂😂
Uyo ni fala hajui kitu thamani ya uwanja ni bilioni 100 ukiweka mkataba wa muda maan yake ni sawa na bilioni 1 kwa mwaka ndani ya miaka 100 je toka ligi zimeanza mapato ya uwanja yalishawahi fika bilioni kwa msimu maanayake ndani ya miaka hiyo 100 yanga hatoa ambulia ata shilingi mia ya uwanja si bora huo mkataba wa milele na yanga anaendelea kunufaika
shida washabiki hawaeshimu watu wanao toa pesa zao iv nan anaweza kutoa B70 zake ajenge uwanja tu
Mchungaji una choyo bhana
We inakuhucu nin wakati wote ci tutakuwaa tunanufaikaa
Ukimuangalia kwa jicho la nyama unamuona mtu ila kwa jicho la rohoni ni pepo.
Mchungaji kila kitu ni hatua na usikariri brother.
Huyu abadilishe jina anaharibu taswira ya uchungaji
Mtu akiongea ukweli anaitwa chizi, utawekaje mkataba bila kutaja ukomo wa mkataba?,
Sawa unaya uko wapi mchungaji
Viwanja vyote vinaendeshwa na wawekezaji acha mawazo ya kizamani.
Labda Nikweli Lakini Hayakuhusu Pambana Nahali Yako.
Acha wivu brother
Kwan Timu yako Vip maana mnadaiwa billion 80 si tayar ilikwisha uzwa. Jipambanien Kwanza niny
Roho ya kwanini mungu hapendi,utaumia sana mchungaji feki
mchungaji chizi😮😮😮😮
Ni kweli mchungaji, umiliki ni wa milele Kabisa
😢😢
Nilivomuelewa Eng. Mkataba ni wa milele. Haijakaa sawa. Sio sawa hata kidogo