Sawa kwani galama zake hatakama milelesawa tu kwani kunatatizo gani
C
christopher_moon1 month ago
Nyie Watu Wa Simba Mnaroho Mbaya Sn Maendeleo Ya Yanga Huwa Yanawaumiza Wacheni Roho Ya Kwa Nini Roho Mbaya Wachawi Nyie Mungu Atawaalani Na Roho Mbaya Zenu
H
heathermerritt951 month ago
Kuna kitu kinamuuma kaona yanga imeshapenya na chengine hajuwi yanga imetowa eneo GSM kajenga wanapata wote ila mchungaji ujuwe eneo. bado ni la yanga hajauziwa mtu ujifahamu
C
colleen_woodard1 month ago
Huyu ni mchungaji au ni pepo
A
aprilclark9601 month ago
Mchungaji sio milele apewe elimu
S
silvia_garcía1 month ago
Hakuna shida Sisi tunachotaka makombe😊
J
john.jensen1 month ago
Huyo anayejiita mchungaji hajui chochote, inaelekea ana wivu wa maendeleo kwacYanga kwa sababu ameina wanataks watokemo.. Aende shule kwanza akajifunze uchumi na uwekezaji
R
rolando_zayas1 month ago
Acha iuzwe mpira ni pesa saiz sio uanachama hewa
R
reecehopkins4731 month ago
Huyu Bwana anayejiita Mchungaji siyo Mchungaji ni mwongo tu. Mimi napata gagaziko sana na huyu mtu.
N
naksh_chaudhry1 month ago
Kaka chakwenu kinawashinda
K
karen_larson1 month ago
Mchungaji MWIVUUU
R
ross.woodward1 month ago
Chengine pale kuna ardhi kubwa ina mana gsm anaweza kujenga sheli au hoteli au ghorofa, Namatangazo gsm akiweka halipii kitu
olivierdrift981 month ago
Huyu Mzee Atakuwa na matatizo ya Akiki
M
maytemarroquín7191 month ago
Ivi mnaowauliza wana AKILI kweli?
monica.proctor1 month ago
Kweli mkataba utavunjwa na vizazi vijavyo,nawatawaona mafara uliopitisha,
C
christine_ferrand1 month ago
Eleweni apo jaman achen ushabiki
kerry_nicholson1 month ago
Ukimuangalia kwa jicho la nyama unamuona mtu ila kwa jicho la rohoni ni pepo.
S
stéphane.perrin1 month ago
Acha wivuuu
E
erick_pimenta1 month ago
Jamani,someni ili muelewe musiweke mapenzi mbele,hapo kuna habari za ngamia na hema hata Marehemu Mengi alitaka kujenga uwanja je nini kilishindikana,Yanga mnapigwa .50/50 mkataba wa namna hiyo mtalia,someni jamani someni muelewe.
Sawa kwani galama zake hatakama milelesawa tu kwani kunatatizo gani
Nyie Watu Wa Simba Mnaroho Mbaya Sn Maendeleo Ya Yanga Huwa Yanawaumiza Wacheni Roho Ya Kwa Nini Roho Mbaya Wachawi Nyie Mungu Atawaalani Na Roho Mbaya Zenu
Kuna kitu kinamuuma kaona yanga imeshapenya na chengine hajuwi yanga imetowa eneo GSM kajenga wanapata wote ila mchungaji ujuwe eneo. bado ni la yanga hajauziwa mtu ujifahamu
Huyu ni mchungaji au ni pepo
Mchungaji sio milele apewe elimu
Hakuna shida Sisi tunachotaka makombe😊
Huyo anayejiita mchungaji hajui chochote, inaelekea ana wivu wa maendeleo kwacYanga kwa sababu ameina wanataks watokemo.. Aende shule kwanza akajifunze uchumi na uwekezaji
Acha iuzwe mpira ni pesa saiz sio uanachama hewa
Huyu Bwana anayejiita Mchungaji siyo Mchungaji ni mwongo tu. Mimi napata gagaziko sana na huyu mtu.
Kaka chakwenu kinawashinda
Mchungaji MWIVUUU
Chengine pale kuna ardhi kubwa ina mana gsm anaweza kujenga sheli au hoteli au ghorofa, Namatangazo gsm akiweka halipii kitu
Huyu Mzee Atakuwa na matatizo ya Akiki
Ivi mnaowauliza wana AKILI kweli?
Kweli mkataba utavunjwa na vizazi vijavyo,nawatawaona mafara uliopitisha,
Eleweni apo jaman achen ushabiki
Ukimuangalia kwa jicho la nyama unamuona mtu ila kwa jicho la rohoni ni pepo.
Acha wivuuu
Jamani,someni ili muelewe musiweke mapenzi mbele,hapo kuna habari za ngamia na hema hata Marehemu Mengi alitaka kujenga uwanja je nini kilishindikana,Yanga mnapigwa .50/50 mkataba wa namna hiyo mtalia,someni jamani someni muelewe.
Hayakuhusu