0:00
23:13
23:13

MCHUNGAJI:AWALILIA YANGA ISHU YA UWANJA,50/50? MANAYAKE GSM ATAKULA YANGA MILELE AMKENI MMEPIGWA

Sports
ADVERTISEMENT

Comments 100

Sign in to join the conversation

Sign in
J
johnaura45 1 month ago

Sawa kwani galama zake hatakama milelesawa tu kwani kunatatizo gani

C
christopher_moon 1 month ago

Nyie Watu Wa Simba Mnaroho Mbaya Sn Maendeleo Ya Yanga Huwa Yanawaumiza Wacheni Roho Ya Kwa Nini Roho Mbaya Wachawi Nyie Mungu Atawaalani Na Roho Mbaya Zenu

H
heathermerritt95 1 month ago

Kuna kitu kinamuuma kaona yanga imeshapenya na chengine hajuwi yanga imetowa eneo GSM kajenga wanapata wote ila mchungaji ujuwe eneo. bado ni la yanga hajauziwa mtu ujifahamu

C
colleen_woodard 1 month ago

Huyu ni mchungaji au ni pepo

A
aprilclark960 1 month ago

Mchungaji sio milele apewe elimu

S
silvia_garcía 1 month ago

Hakuna shida Sisi tunachotaka makombe😊

J
john.jensen 1 month ago

Huyo anayejiita mchungaji hajui chochote, inaelekea ana wivu wa maendeleo kwacYanga kwa sababu ameina wanataks watokemo.. Aende shule kwanza akajifunze uchumi na uwekezaji

R
rolando_zayas 1 month ago

Acha iuzwe mpira ni pesa saiz sio uanachama hewa

R
reecehopkins473 1 month ago

Huyu Bwana anayejiita Mchungaji siyo Mchungaji ni mwongo tu. Mimi napata gagaziko sana na huyu mtu.

N
naksh_chaudhry 1 month ago

Kaka chakwenu kinawashinda

K
karen_larson 1 month ago

Mchungaji MWIVUUU

R
ross.woodward 1 month ago

Chengine pale kuna ardhi kubwa ina mana gsm anaweza kujenga sheli au hoteli au ghorofa, Namatangazo gsm akiweka halipii kitu

olivierdrift98
olivierdrift98 1 month ago

Huyu Mzee Atakuwa na matatizo ya Akiki

M
maytemarroquín719 1 month ago

Ivi mnaowauliza wana AKILI kweli?

monica.proctor
monica.proctor 1 month ago

Kweli mkataba utavunjwa na vizazi vijavyo,nawatawaona mafara uliopitisha,

C
christine_ferrand 1 month ago

Eleweni apo jaman achen ushabiki

kerry_nicholson
kerry_nicholson 1 month ago

Ukimuangalia kwa jicho la nyama unamuona mtu ila kwa jicho la rohoni ni pepo.

S
stéphane.perrin 1 month ago

Acha wivuuu

E
erick_pimenta 1 month ago

Jamani,someni ili muelewe musiweke mapenzi mbele,hapo kuna habari za ngamia na hema hata Marehemu Mengi alitaka kujenga uwanja je nini kilishindikana,Yanga mnapigwa .50/50 mkataba wa namna hiyo mtalia,someni jamani someni muelewe.

S
sabrina_king 1 month ago

Hayakuhusu