Poleni sana wazazi Atashetani hawezi kufanya unyama huo 🤔😭😭
C
charles_sandoval3 months, 2 weeks ago
Ina umasana kweli bina ndamu kwanini hatuna moyo. Wa nyama Jamani paka kumu kata mtu kichwa Jamani Jamani. Heee mungu mulipisie uyu baba damu ya mwanahe
C
cynthia.costa3 months, 2 weeks ago
Pole sana Mungu atakulipia hapa duniani
R
robin_eaton3 months, 2 weeks ago
Masikini baba wawatu,anajikaza tu,ila viatu vyake alivyovaa ni vikubwa mno...pole sana mzee wng.. maana hilo tukio walilolifanya shetani mwenyewe analia... yaani hao wauaji mungu anawasubiri kwa udi na mavumba😢😢😢😢😢😢pole sana baba angu na familia kwa ujumla😢😢😢😢
irene.humphries3 months, 2 weeks ago
Mungu Nena na wazazi Hawa na kuwatia nguvu jamani
michael.campbell3 months, 2 weeks ago
Pole sana Bwana wetu yesu kristo wa nazalethi awafarijii . Kwani faraja ya mwanadamu haitoshi . Bwana yesu uturehemu tz.
L
leon.mohaupt3 months, 2 weeks ago
Jaman Kuna watu Wana roho ngumu dah inaumiza sana😭😭😭😭😭😭
jamesstream973 months, 2 weeks ago
Kichwa hakijapatikana Hadi Leo au
tracey_ramos3 months, 2 weeks ago
Pole sana mzee
H
hakanhenk7473 months, 2 weeks ago
uuuuuuuwiii
pedrolucas.abreu3 months, 2 weeks ago
ushirikina huo...jaman watu waache ushirukina na roho mbaya
helena_novais3 months, 2 weeks ago
Ila waandishi mna boa sana cjaona maswali mapya mnarudia Yale Yale muacheneni hata anywe maji khaa
H
helen_hunter3 months, 2 weeks ago
Pole sana baba yangu mungu atalipa tuu
L
lilia_medrano3 months, 2 weeks ago
Ujio mzuri
maanaszachariah603 months, 2 weeks ago
Poleni sana familia
D
dawn_horton3 months, 2 weeks ago
😭😭😭
L
lucieadam193 months, 1 week ago
Hio ndio bongo Dari salama
scottarc943 months, 2 weeks ago
Poleni sana family ila inaumiza sana moyo...alikuja na viungo vyake kamili anarudi mwili bila kichwa 😢ila haki damu n kilio chake...hao wahusikia watajisema ata sio mbali😢
B
benitosolorzano763 months, 2 weeks ago
Pole sana. Inasikitisha sana. Kweli shetani akimwingia mtu anakuwa mnyama kabisa. Hivi unawezaje kumchinja binadamu?
ross_shepherd3 months, 2 weeks ago
Kwa hiyo baba akee anajua chanzo cha mwanae kuuwawa? Au mnatafuta tu watazamajiii
Poleni sana wazazi Atashetani hawezi kufanya unyama huo 🤔😭😭
Ina umasana kweli bina ndamu kwanini hatuna moyo. Wa nyama Jamani paka kumu kata mtu kichwa Jamani Jamani. Heee mungu mulipisie uyu baba damu ya mwanahe
Pole sana Mungu atakulipia hapa duniani
Masikini baba wawatu,anajikaza tu,ila viatu vyake alivyovaa ni vikubwa mno...pole sana mzee wng.. maana hilo tukio walilolifanya shetani mwenyewe analia... yaani hao wauaji mungu anawasubiri kwa udi na mavumba😢😢😢😢😢😢pole sana baba angu na familia kwa ujumla😢😢😢😢
Mungu Nena na wazazi Hawa na kuwatia nguvu jamani
Pole sana Bwana wetu yesu kristo wa nazalethi awafarijii . Kwani faraja ya mwanadamu haitoshi . Bwana yesu uturehemu tz.
Jaman Kuna watu Wana roho ngumu dah inaumiza sana😭😭😭😭😭😭
Kichwa hakijapatikana Hadi Leo au
Pole sana mzee
uuuuuuuwiii
ushirikina huo...jaman watu waache ushirukina na roho mbaya
Ila waandishi mna boa sana cjaona maswali mapya mnarudia Yale Yale muacheneni hata anywe maji khaa
Pole sana baba yangu mungu atalipa tuu
Ujio mzuri
Poleni sana familia
😭😭😭
Hio ndio bongo Dari salama
Poleni sana family ila inaumiza sana moyo...alikuja na viungo vyake kamili anarudi mwili bila kichwa 😢ila haki damu n kilio chake...hao wahusikia watajisema ata sio mbali😢
Pole sana. Inasikitisha sana. Kweli shetani akimwingia mtu anakuwa mnyama kabisa. Hivi unawezaje kumchinja binadamu?
Kwa hiyo baba akee anajua chanzo cha mwanae kuuwawa? Au mnatafuta tu watazamajiii