Siku zote ile gari unayosema hii haitoboi ndio inayo fika safari kwahio chama watu walisema ni mzee lakini sivyo alivyo
L
leon_williams3Β months, 1Β week ago
Wamwisho jamaaa wa mtibwa na yanga
A
abeerbath4073Β months, 1Β week ago
AMINA NA.IWE HERI KWA WOTE TUNAWAPENDA
K
kevin.brown3Β months, 1Β week ago
nikwambie ukweli tuu yanga alipotea kuazia ZANZIBA ile mechi ya dabi nibora yanga ange kubali kufungwa na Simba ili ajipange likini Sasa sifa siku zote sio nzuri aya Sasa yanga ana mechi moja ya kupoteza na nyingine droo. Sasa SIJUI awa watu
matthewmist723Β months, 1Β week ago
Ili simba awe bingwa inatakiwa yanga atoe sare mbili au afungwe mechi moja na simba inabidi ashinde mech zote ndio anaweza kuchukua ubingwa, je? Yanaga anaweza kutoa sare mbili? Au anaweza kufungwa mech moja?, kwasababu yanga akitoa sare moja na simba akishinda zote point zinakua sawa inamana bado yanga bado atakua bingwa kwasababu yanga ana mabao mengi kuliko simba
Simba kweli ni Simba hata ufanyeje itakuadhibu tu
Mola ampe afya njema chama wetu pia wachezaji wote kwa ujumla
Niambiye waooooo
Nguvu moja π¦π¦
Mmmh wacheni kupiga kelele sifa za kijinga young mpende msipende young bingwa
Simba nguvu mojaβ€β€β€β€
Nakukubali sana Friji bovu
β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€
Sasa alama mbili ana magoli mengi sana
Siku zote ile gari unayosema hii haitoboi ndio inayo fika safari kwahio chama watu walisema ni mzee lakini sivyo alivyo
Wamwisho jamaaa wa mtibwa na yanga
AMINA NA.IWE HERI KWA WOTE TUNAWAPENDA
nikwambie ukweli tuu yanga alipotea kuazia ZANZIBA ile mechi ya dabi nibora yanga ange kubali kufungwa na Simba ili ajipange likini Sasa sifa siku zote sio nzuri aya Sasa yanga ana mechi moja ya kupoteza na nyingine droo. Sasa SIJUI awa watu
Ili simba awe bingwa inatakiwa yanga atoe sare mbili au afungwe mechi moja na simba inabidi ashinde mech zote ndio anaweza kuchukua ubingwa, je? Yanaga anaweza kutoa sare mbili? Au anaweza kufungwa mech moja?, kwasababu yanga akitoa sare moja na simba akishinda zote point zinakua sawa inamana bado yanga bado atakua bingwa kwasababu yanga ana mabao mengi kuliko simba
..mbwa ww