We mzee uongo mexime kaondoka ndo mtoa rada uyoooo
R
robertvaleon363 months, 1 week ago
Munaumia sana,,,📣📣
J
jayeden683 months, 1 week ago
Mkalaboko nimekuamini sana Mwamnyeto siyo Beki mzuri tangu huko nyuma hata Fainali ya Yanga na Costal union watu huwa wanaituhumu Yanga haina ndugu yoyote kwenye hizi timu
christine_woods3 months, 1 week ago
Hapo mlipo mnaumia atar
W
wandamyst13 months, 1 week ago
ww mkaraboko ndo maana mnaelezwa mtuchambulie mpira ninyi ni kuwapamba tu uto sasa kiko wapi kungekuwa na haki ingekuwaje
gaelhenrique_farias3 months, 1 week ago
Yanga wamejifunga wenyewe dodoma jiji walikuwa tayari kufungwa Sema Mungu fundi leo kapanga lake
sarah_wallace3 months, 1 week ago
Mechi ya Yanga na Dodoma, timu ya Yanga imecheza sana kuliko hapo nyuma. Kuondoka kwa Pedro ukweli Yanga imebadilika ni nzuri. Tatizo ni kweli Beki huyo inabidi ajirekebishe.
L
leonard_bender3 months, 1 week ago
Ubingwa ni mali yetu tuuuu 🎉🎉
S
suzannelloyd4763 months, 1 week ago
Kwanini wasiwape credit Dodoma fc?
helena_novais3 months, 1 week ago
walipewa nafasi wameshindwa wao tu hao ni ndugu
D
damien_davies3 months, 1 week ago
mkataboko team lake Uto lmefungwa
M
marcelladörschner4833 months, 1 week ago
Lugha ya udugu ni maneno ya wakosaji, hakuna uhusiano kwenye ligi huo ni ujinga na ushamba.
E
eshana.modi3 months, 1 week ago
Waziri hajapewa pesa yule ndio tatizo
lakshmiatlas433 months, 1 week ago
Yanga kukosa ubingwa ni kwa ubovu wao
H
hans-heinrich.segebahn3 months, 1 week ago
YANGA BINGWAA
V
victoria_elliott3 months, 1 week ago
Yanga haishindi kwa ubora wao angalia kmc penat mbili refa hakutoa angalia goli la seleman mwalimu Zanzibar Bora useme yanga imechoka
J
jayeden683 months, 1 week ago
WANANCHI TUMCHANGIE DR NA TUM BEMBELEZE JAMAN ILI ASISUSE😂
jamesstream973 months, 1 week ago
Yanga ubingwa kwaheri
S
saanvi.sha3 months, 1 week ago
Wananunua mechi hata mkalaboko na yeye kanunuliwa Bado tu kuliwa
R
rebecca.jordan3 months, 1 week ago
Lile gori lilimtowa mchezoni yawezekana alibis akibaki anaweza let madhala zaidi ni Dereva Makini Nyumba Hamisi Nyumba wa kiwalani Daresalaam
We mzee uongo mexime kaondoka ndo mtoa rada uyoooo
Munaumia sana,,,📣📣
Mkalaboko nimekuamini sana Mwamnyeto siyo Beki mzuri tangu huko nyuma hata Fainali ya Yanga na Costal union watu huwa wanaituhumu Yanga haina ndugu yoyote kwenye hizi timu
Hapo mlipo mnaumia atar
ww mkaraboko ndo maana mnaelezwa mtuchambulie mpira ninyi ni kuwapamba tu uto sasa kiko wapi kungekuwa na haki ingekuwaje
Yanga wamejifunga wenyewe dodoma jiji walikuwa tayari kufungwa Sema Mungu fundi leo kapanga lake
Mechi ya Yanga na Dodoma, timu ya Yanga imecheza sana kuliko hapo nyuma. Kuondoka kwa Pedro ukweli Yanga imebadilika ni nzuri. Tatizo ni kweli Beki huyo inabidi ajirekebishe.
Ubingwa ni mali yetu tuuuu 🎉🎉
Kwanini wasiwape credit Dodoma fc?
walipewa nafasi wameshindwa wao tu hao ni ndugu
mkataboko team lake Uto lmefungwa
Lugha ya udugu ni maneno ya wakosaji, hakuna uhusiano kwenye ligi huo ni ujinga na ushamba.
Waziri hajapewa pesa yule ndio tatizo
Yanga kukosa ubingwa ni kwa ubovu wao
YANGA BINGWAA
Yanga haishindi kwa ubora wao angalia kmc penat mbili refa hakutoa angalia goli la seleman mwalimu Zanzibar Bora useme yanga imechoka
WANANCHI TUMCHANGIE DR NA TUM BEMBELEZE JAMAN ILI ASISUSE😂
Yanga ubingwa kwaheri
Wananunua mechi hata mkalaboko na yeye kanunuliwa Bado tu kuliwa
Lile gori lilimtowa mchezoni yawezekana alibis akibaki anaweza let madhala zaidi ni Dereva Makini Nyumba Hamisi Nyumba wa kiwalani Daresalaam