ALLY KAMWE ATOA TAARIFA MPYA YA DJIGUI DIARRA na MWAMNYETO, MECHI IJAYO VS JKT, KESHO RAMANI UWANJA
ADVERTISEMENT
Comments 84
suzannelloyd476:
Asante kwa kutupa moyo semaji letu mungu akubarik sik zote …
More Like This
12:07
NASSORO APAGAWA NA GOLI LA SHALULILE/AWATOLEA SIMBA UVIVU /AMPIGIA SALUTE KANGWANDA,YAO YAO
Sports
89
0
12:42
Yanga SC 4-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 24/08/2026
Sports
1.4k
0
12:33
MZEE SAID!HII SIYO YANGA ILI NI JIWE LIMETENGENEZWA/JKT BILA KUPAKI BASI KIAMA KINGEMKUTA
Sports
1.2k
0
0:20
When You Lose 5-0 And Your Family Tries To Talk To You 💀
Sports
0
0
2:11
Ranking EVERY Goal Animation In The Prem Worst To Best📈🎨 #premierleague
Sports
7.5k
0
0:56
The Premier League is BACK 😂
Sports
10.7k
0
1:53
Biggest Crashout Moments In Football #football #shorts #crashout
Sports
19.0k
0
1:03
why Pep hates half turns
Sports
6.0k
0
You've reached the end
Asante kwa kutupa moyo semaji letu mungu akubarik sik zote uwe ivyo 🙏 wananchi wezangu tusikate tamaa 💪ubingwa tunao tunatamb nao 🥰💛💚💪
Safi sana msemaji wetu kamwe kwa majibu unayo wajibu waandishi wa habar😮😊😊😊😊
msemaji wetu ni mtu makini tumuunge mkono tusake ubingwa
Safi sana Ally Kamwe, Msemaji wa CAF
Safi sanaaaa nakukubali sanaaaa ALI KAMWEEEE umeongeya vizuri sana sisi tumefungwa ila tunashukuru mmerudi salama mapambano Bado yanaendeleya
Nice boy wewe ni msemaji mwenye D zote
Japo kinyonge ila uko sawa hasa
Brother Ally Kamwe anazungumza huchoki kumsikiliza. Well said Afsa Habari wetu 👏👏👏
Leo kawa mpole na amejua hayo
Ile mechi ilikuwa lazima tufungwe wala tusimlamu mnyeto wala masalanga nujumu kwetu ilikataa tujipangè na mechi zijazo tusifanye mzaha vnginevyo ubingwa baba jeni
Japo inauma ila ni kweli ila mungu yupo tutaweza
UONGOZI kama upo makini Diarra anapaswa kulimwa faini kama hataki aondoke tu asitake kujifanya ni mkubwa kuliko Timu yetu,tumetoka kumchangia hivi karibuni halafu siku chache mbele anatulipa kwa kusababisha tupoteze mechi
shukran nn kwa kutupa moyo
Mungu azidi kukujalia maneno ya hekima uzidi kututia moyo napia asiekubali kushindwa si mshindani Asante mungu kwa yote
Safi kabisa Maneno ya maana Hekima na Busara
Usiwaze mwayaa mungu atatenda
Timu Bora ikifungwa maneno mengi
What if wakiamka vibaya tena
Huyu ndiye msemaji wa mpira na mkweli siyo wale kanjanja wanaojua kubeza tu. Bigup Kamwe huo ndiyo mpira wa miguu ulivyo wala hakuna malalamiko, hakuna timu isiyofungika.
daaaaa bongo si hami mkataba unakujaje humu