Shabiki wa YANGA Awaka kwa Hasira ataka Djigui Diarra Aondoke Yanga.
Sign in to join the conversation
😂😂😂kwaiyo supu ipo au haipo😂😂😂
Tumetia aibu team yetu mbovu
RUSHWA NI YANGA NA YANGA NI RUSHWA HONGO NI YANGA NA YANGA NI HONGO
Wewe unaona wale sio watu au mnataka mshinde nyinyi tu
Wewe ulitakaje,ndiyo Mpira Kila siku c mna shidnda Mtani kamechi kamoja Tu mnaanza kulalama ah siyo mpira
Mmefungwa kwasababu Anthony Mavunde hajatoa posho kwa wachezaji wa Dodoma Jiji
Mpira huo.....Kwani Dodoma jiji Viwete..?
mmefungwa kwa sababu mganga wenu kafungiwa mwaka mzima
hamna dagaa hata nyumbani mnachangia timu
Uwanja hamna wala nini nyinyi maboya mnadanganywa tu
Kila cku mshinde nyie bhana ligi c ya wote embu acheni izo bhana
Manara ni kichwa kingine hicho kwanza manara alitakiwa awe Barcelona sio yanga
Uto unaumia ukiwa wp 😅😅😅
Diary mnamuonea bakari ndio aondoke
Hatakagi kufungwa tatizo
Manake, manke😂😂 manakeee😮😮😅😅
yanga mnpelekwa na kija mdogo
Leo bahasha hawakupewa wachezaji wamepewa waamuzi tu
Leo gsm kagoma kutoa pesa
Diara kajivunja makusudi kaota wanafungwa
😂😂😂kwaiyo supu ipo au haipo😂😂😂
Tumetia aibu team yetu mbovu
RUSHWA NI YANGA NA YANGA NI RUSHWA HONGO NI YANGA NA YANGA NI HONGO
Wewe unaona wale sio watu au mnataka mshinde nyinyi tu
Wewe ulitakaje,ndiyo Mpira Kila siku c mna shidnda Mtani kamechi kamoja Tu mnaanza kulalama ah siyo mpira
Mmefungwa kwasababu Anthony Mavunde hajatoa posho kwa wachezaji wa Dodoma Jiji
Mpira huo.....Kwani Dodoma jiji Viwete..?
mmefungwa kwa sababu mganga wenu kafungiwa mwaka mzima
hamna dagaa hata nyumbani mnachangia timu
Uwanja hamna wala nini nyinyi maboya mnadanganywa tu
Kila cku mshinde nyie bhana ligi c ya wote embu acheni izo bhana
Manara ni kichwa kingine hicho kwanza manara alitakiwa awe Barcelona sio yanga
Uto unaumia ukiwa wp 😅😅😅
Diary mnamuonea bakari ndio aondoke
Hatakagi kufungwa tatizo
Manake, manke😂😂 manakeee😮😮😅😅
yanga mnpelekwa na kija mdogo
Leo bahasha hawakupewa wachezaji wamepewa waamuzi tu
Leo gsm kagoma kutoa pesa
Diara kajivunja makusudi kaota wanafungwa