#yanga #ahmedally #allykamwe #chobwedo #ligikuuleo #mpanzu #magoliyasimba #magoliyayanga #mechizaleo #muunganocup #selemanimwalimu #simbavsnamungo #simbavsyanga #kariakooderby #muunganocupy #simbazanzibar #yangazanzibarl #yangasingida
ADVERTISEMENT
UZURI WA AHMED HUWA ANAKUBALI MZIKI WA YANGA😊😂😂
Chama habari yamjini
Wana Simba huyu kijana Ahamedi Ali mnamfikiliaje Ambaye analala na timu anaamka na timu anakufa na timu anaoza na timu hakosi la kusema hata kama Simba inataka kuzama anaiweka mgongoni hajawahi kuzila au kususa kweli huyu kijana ana❤ aibu ya timu na Wana Simba ni aibu yake. Hajawahi kuiacha timu popo ilipo timu yupo na timu yake. Je,Wana Simba na uongozi wa Simba tunamfikiliaje huyu kijana hatuna budi kumpa mauwa yake. Kweli kijana ana❤❤❤
semaji lenye utulivu wa hali ya juu ✍🏼
Tunaoipenda simba na semaji letu like ❤🎉
Kwa sasa yanga wapo kileleni kwa Points 2 za marefa. Maana Znz simba alinyimwa pt 3, na KMC walinyimwa penati.
ETI GOLI LA MWAMNYETO NALO LIMEINGIA KWENYE KINYANG'ANYILO NA MAGOLI YA CHAMA😂😂
😅😅😅😅😅semaji unapt zamb ety amechagua engo😂😂😂ila nahodha
Ila semaji letu mh unatupa raha kweli
Ila semaji 😂😂..et utulivu wa Hali ya juu😂😂ila nahodha🙌
Naodha amefunga goli zur sana jana utulivu wa hali ya juu kwa naodha👍👍
Mwamba wa puskas goal
Nahodha
Camera 🔥
Ahahaha 😂😂😂😂 ila semaji ni noma ety captain alipiga tikitaka kwa utulivu wa hali ya juu 😂😂😂
😂😂😂😂 et nahodha anataka gol lake na chama ila semaj jaman😂
Msemaji tunae na tunatamba naee🎉🎉🎉🎉❤
😂😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏❤️
😂😂😂😂
great fully chama🎉