0:00
11:05
11:05

AHMED ALLY AWAPASUA YANGA ATAMBA KWA KIWANGO CHA CHAMA ATAMALIZA TUZO ZA MCHEZAJI BORA

Sports

#yanga #ahmedally #allykamwe #chobwedo #ligikuuleo #mpanzu #magoliyasimba #magoliyayanga #mechizaleo #muunganocup #selemanimwalimu #simbavsnamungo #simbavsyanga #kariakooderby #muunganocupy #simbazanzibar #yangazanzibarl #yangasingida

ADVERTISEMENT

Comments 57

Sign in to join the conversation

Sign in
T
thomastempest62 1 month ago

UZURI WA AHMED HUWA ANAKUBALI MZIKI WA YANGA😊😂😂

K
kimberlyechoing26 1 month ago

Chama habari yamjini

V
victoire.lucas 1 month ago

Wana Simba huyu kijana Ahamedi Ali mnamfikiliaje Ambaye analala na timu anaamka na timu anakufa na timu anaoza na timu hakosi la kusema hata kama Simba inataka kuzama anaiweka mgongoni hajawahi kuzila au kususa kweli huyu kijana ana❤ aibu ya timu na Wana Simba ni aibu yake. Hajawahi kuiacha timu popo ilipo timu yupo na timu yake. Je,Wana Simba na uongozi wa Simba tunamfikiliaje huyu kijana hatuna budi kumpa mauwa yake. Kweli kijana ana❤❤❤

mariacecíliaalbuquerque427
mariacecíliaalbuquerque427 1 month ago

semaji lenye utulivu wa hali ya juu ✍🏼

A
angela_rodriguez 1 month ago

Tunaoipenda simba na semaji letu like ❤🎉

M
marie_austin 1 month ago

Kwa sasa yanga wapo kileleni kwa Points 2 za marefa. Maana Znz simba alinyimwa pt 3, na KMC walinyimwa penati.

franz-xaver_scheel
franz-xaver_scheel 1 month ago

ETI GOLI LA MWAMNYETO NALO LIMEINGIA KWENYE KINYANG'ANYILO NA MAGOLI YA CHAMA😂😂

D
diane_thompson 1 month ago

😅😅😅😅😅semaji unapt zamb ety amechagua engo😂😂😂ila nahodha

C
christopher_thompson 1 month ago

Ila semaji letu mh unatupa raha kweli

S
sallysimmons345 1 month ago

Ila semaji 😂😂..et utulivu wa Hali ya juu😂😂ila nahodha🙌

A
andrew_montgomery 1 month ago

Naodha amefunga goli zur sana jana utulivu wa hali ya juu kwa naodha👍👍

L
leon_rogers 1 month ago

Mwamba wa puskas goal

J
juliapope595 1 month ago

Nahodha

V
vanessa_carlson 1 month ago

Camera 🔥

L
lisa_hayes 1 month ago

Ahahaha 😂😂😂😂 ila semaji ni noma ety captain alipiga tikitaka kwa utulivu wa hali ya juu 😂😂😂

M
meghana_bobal 1 month ago

😂😂😂😂 et nahodha anataka gol lake na chama ila semaj jaman😂

N
nehaganesh976 1 month ago

Msemaji tunae na tunatamba naee🎉🎉🎉🎉❤

D
davimiguel_silveira 1 month ago

😂😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏❤️

lakshmiatlas43
lakshmiatlas43 1 month ago

😂😂😂😂

M
meganseraph65 1 month ago

great fully chama🎉