WATCH HOPE CHANNEL TANZANIA📺 AZAM - 466 | ZUKU -870 | STAR TIMES - 500 Follow Us On: INSTAGRAM: https://www.instagram.com/hopechanneltz/?hl=en || https://www.instagram.com/awrtanzania/?hl=en X : / hopechanneltz FACEBOOK: https://web.facebook.com/hopetv.or.tz/?_rdc=1&_rdr || https://www.facebook.com/AdventistWorldRadioTanzania/
ADVERTISEMENT
Amina sana
Ivi Leo ni siku ya ngap ya maubir
Kutoka SAUDI ARABIA AMEN AMEN ❤❤❤
From Zambia nawapata vyema,sana nà Mungu awabariki sana 🙏
🇧🇮kutoka burundi tunawafuatilia sana
Amina . Naomba kupata link alizosema dakatari.
Ameeeen🙏🏼
Aminaa
Amina
Amen
Ya tatu
Kwakweli Mungu atukuzwe Kwa ujumbe wa afya! Mambo ya kuleta madaktarii bingwa sjui ma professor wa afya .. wakati kanisa linaujumbe wa afya ambao ni Bora na rahisi kabisa. Hata kama wachungaji wameshindwa kuuishi... Watupe.. Matengenezo ni ya kanisa sio ya wasabato walio hasi
Tabitha samwel nabalikiwa nikiw hap arusha
Hivyo Mungu alikosea kutupatia nyama?kama hakukosea mbona mboga za majani hamuongelei wakati zilitoka baada ya dhambi mwanzo 3:18
Kweli mnasikika vizuri sana,Tangu siku ya ufunguzi ninawafutilia mada ni nzuri sana na watoa wako vizuri sana wanaeleweka vizuri kabisa .Mungu awabariki zaidi. Natamani kundi kubwa la vijana linhebarikiwa kuwa na utayari wa kufuatilia mkutano huuu wangepona wengi❤❤
Aminaaas