NDOA [EP 135] Love Story ππππ #pasarbrand #kiparabrand #drama #love #movie
ADVERTISEMENT
Comments 100
manyadaylight5:
Bado nauliza nani anafrahia kuona Martin akiteseka..gonga lβ¦
More Like This
23:11
BINTI NGUVA _ FULL EPISODE 24
Entertainment
3.6k
0
0:43
ana nguvu za kimiungu anapotea kama upepo na kupambana na viumbe wa ajabu #muhtasariwafilamu
Entertainment
611
0
0:39
#Mbosso #behindthescenes #khanmusic #music #newmusic #tanzania #kenya #DJ #MrDj
Entertainment
1.8k
12
33:10
LAMINATION (14) #clamvevo #dunia #stivemweusi #lastchance #babajoan #dontatv #sahilmahili #asmafilm
Entertainment
3.2k
0
19:04
SIRI YAKO EPSODE 24 [ Laana Haifichiki ]
Entertainment
4.2k
100
2:06:06
The Polygamist Season 1 Full Drama 2026 | Gumede | kwanela mthethwa | S,dumo | hd Review & Facts
Entertainment
4.1k
0
42:27
Chipo Part 4 Mwana anoda kuziva baba vake
Entertainment
3.1k
100
22:29
TRUE COLOURS Episode 6 @PurpleHeartstv2 @Purpleheartstvurban @PurpleHeartstv2
Entertainment
1.3k
0
You've reached the end
Bado nauliza nani anafrahia kuona Martin akiteseka..gonga like hapaπππmpka ndoa ikuuuuuee
Nani mwingine anataka pasar atimue huyu tatu juu ako na plan zakeπππππteam kiduch na pasar mko wapyβ€β€β€
Wangap tunamchukia mama passar β€β€β€
Wangapi tunampenda Mungu tujuane kwa likeπβ€β€
Kama Kawa team kiduchu gonga like
Tim kiduchu gonga likes jamaniβ€β€β€πππ
Nan anapenda kiduchu na pasar wawe wapenz β€β€β€β€β€
Kama unaangalia ndoa ukiwa kitandani gonga like β€
Nani anatamani pasar ajue ukweli km tatu alitumwa na lidya mipango Yao isifaulu tujuane.. team kiduchu katoto ketu kafupikafupi kwenye kanajua mapenzi tukutane hata tuko na mkutano
Pasar fanya timua tatu humo ndani na Leo nimekua wa kwanza kutoka Zanzibar.
Anaesoma comment hii na kulike anandoto za kuwa tajirii na mungu awape maisha marefu wazazi woteeβ€
Wakwanza kutoka Kenya nipe like zangu hata 10ππππ
Wakwanza mimi leo sasaπππ naombe like jamani hata kumi2
Aaah kiduchu umeniua ulivyowakomeshaaaa na msemo...(malizeni kikao halafu mtaniletea hitimisho)mama mkwe shikamoo kiduchu wa safari hii kajihami vilivyooo hongera sanaπππβ€β€β€β€
Maman paseli Na tatu wanazinguwa sanaβ€β€β€β€ naomba lik zenu nipo congo
Naomba hata like moja tuπβ€
Isiwe sababu yakuninyima like ata 1 kisa nimechelewa tatizo uchumi ila naipenda sana ndoaβ€β€β€
Naomba Mama pasar kamdomo aujue ukwel tatu kafata nn maan ananiudh mmπ’ like za pasar na kiduchu zijae hpπβ€β€β€β€β€β€
Eeee maraba wapili leo nipeni like zangu basiii hata 10 tuuu naombaππππ
Emungu baliki watu wote wanao soma komenti yanguβ€β€