Tafadhali tafadhali Usifanye kosa hili kubwa usife bila kumpa Bwana Yesu maisha yako
C
crystal_ramirez1 week ago
Fei mpaka musimu ujao akimaliza mkataba wake na azam . Bei yake bilioni , uhamisho wake laki nane za mchezaji , mshahara wake milioni 50,000/= katika hizo bilioni 2 moja ni pesa ya Yanga . Kwa mujibu wa makubaliano na Azam kama Fei atauzwa .
J
jamesrune241 week ago
Waleteeeee😂😂😂😂
L
lisa_hayes6 days ago
kila siku tangazo hilohilo tu
caitlin_macdonald6 days, 23 hours ago
Ni kweli Simba imekamilika?maana Simba huwa hawakai kuachia hadi anachukuliwa na kuanza kutusumbua
Tafadhali tafadhali Usifanye kosa hili kubwa usife bila kumpa Bwana Yesu maisha yako
Fei mpaka musimu ujao akimaliza mkataba wake na azam . Bei yake bilioni , uhamisho wake laki nane za mchezaji , mshahara wake milioni 50,000/= katika hizo bilioni 2 moja ni pesa ya Yanga . Kwa mujibu wa makubaliano na Azam kama Fei atauzwa .
Waleteeeee😂😂😂😂
kila siku tangazo hilohilo tu
Ni kweli Simba imekamilika?maana Simba huwa hawakai kuachia hadi anachukuliwa na kuanza kutusumbua
Simba wasajili 4 tu.wakigeni wasubiri.dilisha dogo
Mbona wanasema ety kocha wa yanga kaingilia kati
Vp kuhusu fei toto na simba