0:00
1:41
1:41

Picha ya Messi na Lamie miaka 19 iliyopita

Sports

Picha iliyopigwa miaka 19 iliyopita na kuonekana ya kawaida wakati huo, leo imegeuka kuwa moja ya picha zinazovutia dunia ya soka. Picha hiyo ilimuonesha Lionel Messi akiwa amembeba mtoto mchanga ambaye sasa ni nyota wa Hispania, Lamine Yamal. Na wawili hao watakutana uso kwa uso katika hatua kubwa zaidi ya soka duniani, fainali ya Kombe la Dunia 2026 Mwandishi wa BBC @ahmedbahajj anaiangazia simulizi hii - - #bbcswahili #soka #kombeladunia2026 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw

ADVERTISEMENT
Comments 0 Be the first to comment