©TUNAKUPA HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA --------------------------------------------------------------------------------- JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM APA: REPORT TO US If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest. COPYRIGHT VIOLATION For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us [email protected] Welcome to REAL in the right place, by accessing Entertainment, Fashion and Sports news from within and outside the borders of Tanzania, our goal is to provide you with reliable and accurate information. Please click the SUBSCRIBE button to become a family member of this channel
ADVERTISEMENT
Duke Ogaa Abuya alitoka wapi wacheni kudharau Kenya
Nawakubali sana
Haya majamaa nimaongoo hakuna mfano😂😂😂😂😂
HIVI TOKA MUANZE KUTOA.TETESI MMESHA WASAJILIA YANGA WACHEZAJI WANGAPI 😁😁😁
Sema kweliiiiiii
🎉🎉🎉😂😂 fire kubwa vijana🎉🎉
Ajibu alikuwa mzuri sana ktk mipira ya kutevga hususan alipokuwa yanga enzi za zahera Tatizo lake kajiharibiya kwa kujiona sana kuwa yeye ni muhim kufanya atakalo😢😢😢hili ndo lilimporomowa ktk mpira
Ivi Timu nyingine hazisajiri?mbona mnasema Yanga na simba tu
Siku hizi waongo sana
Eegweeee
Mmh!! amna kitu apa maneno mengi ya bure.
Wachambuzi sasa hivi mnatumika na mawakala kuuza wachezaji wao. Hizo story zote ni dili mnazopewa na mawakala. Mumegeuka na kuwa machawa wa mawakala.
Mnaongea Sanaa 😂😂 duh
Mwananchiiiiiiiiiiii
Hwa jamaa huwa wanatunga stori za kuwafariji utopolo
Wachambuzi huwa mnawapambia wachezaji mwisho wa siku wanafeli
Zamu ya nani leo kusafisha mizigo paleee
😂😂😂🎉🎉
Siyo dube ni mfumo kumbuka dube alipokuwa azam na winga walikuwa wanamtumiaje kingine kila timu inavyocheza na yanga tofauti na nyingine
wakati wa usajili ndio inavyokuaga kila mwaka. kuuza story. na watopolo hukengeishwa kweli na media, eeeh striker refu kuliko goli. mashindano yakianza, oooh mazingira, hajaadaputi. Ronaldo alivotoka yuropu kwenda saudi alihitaji muda ku adopt kweli? TUNAIBIWA.