Baada ya upasuaji kufanikiwa, mama anagundua kuwa aliyemuokoa si mwingine bali ni Daktari Maria, binti albino aliyewahi kumtenga. Je, ataomba msamaha? Usikose sehemu hii yenye hisia kali na mafunzo makubwa. #nduvastudios #MariaBintiAlbino #albino #drama #kiswahilirahisi #familydrama #forgiveness #hospitaldrama #emotionalstory #shortfilm #tanzania #africanstories #trendingvideo #subscribemychannel
ADVERTISEMENT
Wanao kubali mwisho waubay niaibu ngonga lake hapa
SUBSCRIBE KAMA UNAMPENDA MARIA Kwa ambae bado haja SUBSCRIBE tunaomba fanya ivyo ili tuwe wengi na tutakuwa tunaoost kila siku IVYO BADO TUNAHITAJI SUPPORT 🙏
Team maria gonga like apa
Wa pili kutoka Kenya naombeni like zenu
Maria ubarikiwe sana unaroho safi sana mwisho waubaya niaibuu🙏🙏♥️♥️
Ila maria ni mrembo MashallaAh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Maria amebarikiwa sana mana anamoyo wa kipekee kwakweli 🎉🎉
Wazazi Kuna Cha kujifunza hapa usiwe na upendeleo nakuombea maisha marefu doctor maria🎉🎉🎉🎉
Maria nakupenda mno mpenzi
Ni nzuri sana
Usicheleweshe jamani nzuri sana yenye mafunzo sisi kwetu kama wazazi. Nimeipenda💕💕💕💕❤
Next ni nzuri sana mbaka nimelia hiki kipande
Hongela sana maria nakupenda❤❤❤🎉🎉🎉
Nimeipenda sana adi nimelia jamani
Wow Maria roho safi sanaaa ❤❤❤
Jamani nzuri sanaaa♥️
Maria sijui ulipo lakini kazi ninzuriii sanaaaa🎉🎉🎉
Maria moyo safi usiobeba kisasi, hongera sana
Kweli kabisa nzurii🎉
Jamani nimelia mim jamani