πππππΌ ππΌπΌππΏπΌππΌππ 7/7 πππππ πΌπππππΌππππππΌπΌ
ADVERTISEMENT
Comments 53
charansarna117:
Huyu mama mungu anamuona nikikumbuka kauli zake dhidi ya waβ¦
More Like This
1:16:01
Fambo Gets EMOTIONAL, Beenie Man, Bounty, Valiant, Being A Father & Drug Addiction | Let's Be Honest
Entertainment
2.8k
100
0:20
Nidalβs Aura Is INSANE π€―π₯ @jordanmatter
Entertainment
27.0k
100
0:16
Hala bakit ganon
Entertainment
11.6k
0
1:01:34
DELAY INTERVIEWS ADWOA PRETTY AND HER HUSBAND
Entertainment
0
0
2:00:07
OMO MI Part 2 Latest Yoruba Movie 2026 Drama / KUNLE OMISORE, DEBBY SHOKOYA,PAPAYA X,AFEEZ OWO
Entertainment
2.5k
0
0:53
Three Perfect Shots Revealed a Military-Trained Shooter | FBI #shorts
Entertainment
75.5k
100
0:46
Nidal EXPOSED Kaidoβs Backflip FAILππ@jordanmatter
Entertainment
33.9k
100
0:12
Tom Holland TURNED BACK for Zendaya! ππ± | #Shorts
Entertainment
35.5k
0
You've reached the end
Huyu mama mungu anamuona nikikumbuka kauli zake dhidi ya watanzania duu!!
Mwenzenu anafurahia 80%mafao ya uspika na mshahara wa ΓΉbΓΉnge
Mwishowa siku nivipande vipande nchi inaondoka kwe ye mustari wa amani kisa kulazimisha pasipo lidhaa yawenye nchi.
Very intelligent and Educated Smart Lady Tulia Akson. God bless her.
Kipindi ni speaka mbona alikua hanyi haya mh binadamu bwana, wakati wake si ndio lisu alikamatwa
Anarukaruka tu nchi aliacha ameiharibu IPO siku atatakiwa ajibu alikua anayafanya na mda huo si mrefu uko karibu sana yeye afurahi kabla ajaenda jela
Mheshimiwa uko vizuri
Mmhh leo.??..
Ila kuna mambo yanafikisha nakuumiza kichwa
Amekonda mmhπ’
Mwiko wa pilau
Akikumbuka 1. Kushadadia Ndugai kukashfiwa 2. Mkataba wa bandari 3. Kina mdude, sativa na wengine wengi waliotekwa 4. Uonevu kwa wanasiasa wasio sisiemu 5. Zoezi la uchaguzi 6. Mikopo isiyo na kikomo kwa maendeleo hafifu Kuyabeba hayo na mengine mengi haiwezekani, basi hana namna zaidi ya kutafuta ukaribu wa wanaoweza kumhurumia
Huyu ndio mlimpa uspika wa bunge
Mkesha , Mkesha , Mkesha ; Tarehe 07-07-2026 Makao makuu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) iliyopo "The Hague - Uholanzi" 07-07-2026 imeruhusu maandamano. Yourβs faithfully Sheikh Mdhaffar Sulaiman Madinga a Ugandan Citizen The Prominent Group Administrator , Global Social Liberty Expressions Networks. Lahore β Pakistan
Kweri tuogope damu zawatu mmmh poleeeeh mdogo wangu
amina tusemeni MUNGU au Mungu siyo "mungu" kwani hilo ni jina kubwa lipitalo majina yote kuzimu duniani na mbinguni pia amina amina
Furahisha nafsi yako dada!!! Mungu amekupa uhai!!! Hata watukane hawabadilishi UKWELI ULIOPO NDANI YAKO!!!! WEWE NI MTUMISHI WA MUNGU!!!
Hivi kumbe ukisoma sana ndio unakuja kuwa hiviππππ
hongera sana mama.
Kokunyeraaaπ