Kipindi wanafanya Paredi lao la nbc hawakuwa na hayo makombe ta crdb na Muungano???.
G
gabriela.miranda2Β weeks, 5Β days ago
Simba the giant of Africa β€β€β€
V
vincent_webb2Β weeks, 5Β days ago
Washenzi sana yanga,na ndo walianza kututupia mawe,jinga sana hao washamba
M
marΓadelcarmenuribe8012Β weeks, 5Β days ago
Nilijua hayo yatatokea kwasababu yanga wanapenda kutania wengine lakini wao hawapendi kutaniwa
C
carmen.vigil2Β weeks, 5Β days ago
Kula wali tyu
C
christy_cooper2Β weeks, 5Β days ago
Kisugu mtema cheche, unakubaika kiongoziβ€
R
ross.woodward2Β weeks, 5Β days ago
daa waandishi hao wameumia sana na mnyama wanaonekana utopolo damu
A
aliciabloom162Β weeks, 5Β days ago
Simba niwazilishi wamambo meng sana simba sio washamba wamambo utoporo ndio marimbukeni wahovyo sana
J
juancarlos.rolΓ³n2Β weeks, 5Β days ago
Secretary wa JayRutty Alli Kamwe jan alikuwa analiuzia sana Irizer lakini kaona aibu kulipanda jana katoka unyoya sijui alikwenda matopeni kuchimba dawa πππ
V
victoire.lucas2Β weeks, 5Β days ago
Kisuguunajuwa.kuwapamaneno
R
robert.maldonado2Β weeks, 5Β days ago
Huyo ni miongoni mwa watu wa hovyo kabisaa
C
christopher_moon2Β weeks, 5Β days ago
Mimi ni simba. Kuchimba dawa Wenzetu wanatumia teck ya kileo ya kidijitali kuchimba dawa ate walipanga na neno PASTOLA nimeisikia. Tumefika wapi jamani!. Kila MTANZANIA AJITAFAKARI
C
christine_ferrand2Β weeks, 5Β days ago
Hao ndugu ndio wale wanaofanya fujo kwenye michezo ya Simba na Simba kutozwa faini mara kwa mara hivyo tuiombe TFF wafuatilie picha zao kwenye matukio hayo.
Kipindi wanafanya Paredi lao la nbc hawakuwa na hayo makombe ta crdb na Muungano???.
Simba the giant of Africa β€β€β€
Washenzi sana yanga,na ndo walianza kututupia mawe,jinga sana hao washamba
Nilijua hayo yatatokea kwasababu yanga wanapenda kutania wengine lakini wao hawapendi kutaniwa
Kula wali tyu
Kisugu mtema cheche, unakubaika kiongoziβ€
daa waandishi hao wameumia sana na mnyama wanaonekana utopolo damu
Simba niwazilishi wamambo meng sana simba sio washamba wamambo utoporo ndio marimbukeni wahovyo sana
Secretary wa JayRutty Alli Kamwe jan alikuwa analiuzia sana Irizer lakini kaona aibu kulipanda jana katoka unyoya sijui alikwenda matopeni kuchimba dawa πππ
Kisuguunajuwa.kuwapamaneno
Huyo ni miongoni mwa watu wa hovyo kabisaa
Mimi ni simba. Kuchimba dawa Wenzetu wanatumia teck ya kileo ya kidijitali kuchimba dawa ate walipanga na neno PASTOLA nimeisikia. Tumefika wapi jamani!. Kila MTANZANIA AJITAFAKARI
Hao ndugu ndio wale wanaofanya fujo kwenye michezo ya Simba na Simba kutozwa faini mara kwa mara hivyo tuiombe TFF wafuatilie picha zao kwenye matukio hayo.
Unajua utani kaka
Huyu jamaa mtaripa