0:00
7:54
7:54

Simba SC 0-0 Mogadishu City Club | Highlights | CECAFA Kagame Cup 24/07/2026

Sports

Simba SC imekabwa koo na kulazimishwa suluhu na Mogadishu City Club ya Somalia, katika mchezo wake wa kwanza wa Kombe la Kagame 2026, ukipigwa kwenye Dimba la Kigali, Rwanga. Kwenye mchezo huu Simba imewatumia baadhi ay nyota wake wapya akiwemo Ibrahim Doumbia , Cooper, Kelvin Nashon na wengine. Tazama highlights.

ADVERTISEMENT
Comments 0 Be the first to comment