PACHA WA SIMBA AWAPA MAKAVU MASHABIKI WA SIMBA KWENDA KUWEKA VINYESI VYAO ENEO LA YANGA
ADVERTISEMENT
Comments 100
mariacecíliaalbuquerque427:
Bora wewe una akili ila utawaona wasio na akili sasa
More Like This
7:54
Simba SC 0-0 Mogadishu City Club | Highlights | CECAFA Kagame Cup 24/07/2026
Sports
523
51
0:26
IShowSpeed Couldn't Escape This Rumor 😭
Sports
18.2k
0
8:17
Arsenal 'explore' Vinicius Junior move as Real Madrid Yan Diomande bid rejected
Sports
2.7k
100
1:12
Viv Richards Faced Bouncer's Rain from Steve Waugh - Analysis #short #cricket #crickethighlights
Sports
1.2k
0
9:16:44
Caymanas Park Jamaica | Saturday, July 25, 2026
Sports
425
0
0:47
When Nerd Tries Basketball 😱 #basketball #streetball #professor #nba #shorts
Sports
12.4k
0
1:27:59
2026 Emirates Great Britain Sail Grand Prix | Portsmouth | Day 1
Sports
754
0
4:34
NRL 2026 | Bulldogs v Warriors | Match Highlights | Round 21
Sports
1.2k
0
You've reached the end
Bora wewe una akili ila utawaona wasio na akili sasa
Kiukweli kaka mashabiki wa Simba wangekua kama ww Simba ingekua bola sana,,, apo hakuna adhabu Wala nn ila sisi tumeweka moyon subiri ubingwa ujao tutafanya na sisi alafu bodi ya ligi utayaona maamuzi, bodi ya ligi n Simba
Ahamed ni tahahira ana shida ya afya ya akili na hao mashabiki wake😂😂😂😂😂
Mtu wa mpira Hua hajifichi anaakili nauchambuzi nasio wengine ambao huongozwa Na akili zakushabiki Tu Dogo hongera ukweli useme Tu usiogope cz kwa vitendo vya ushabiki wa Simba Jana hasa huyo Ahamd Ally kwa alichoelekeza washabiki wao anaharibu Sana maana ya utani wa Hadi amekurupuka ajifunze kwa watangulizi wao haikuwahi kutoka ujinga kama Huu tunakoelekea anataka kuingiza uadui kwenye familia ya mpira Sasa subiria malipizi yatakayotokea maana akili Za Gz Na Hii millenia kutatokea Fujo kubwa
Huyu shabiki ni mahiri sana. Amenyooka hana unazi ni mkweli
Unajua Mtu Anapokosa Mimba Kwamuda Mrefu. Siku Atakayopata Mimba Mate Mji Mzima.
Pacha uko vzr san
Wangefanya yanga ingepigwa faini milioni 300. TFF ni SIMBA.
Ingekuwa Yanga hapo ungesikia milioni 200 fain
Uko vizuri kaka unainesha unamalezi mazuri
Wana simba walienda kujifariji
Sema sema mdogowangu mungu akulinde akujalie hafya njema uzidi kusema ukweli baba Simba wamebebwa
Karia hafai kuwa kiongozi kwasababu makosa ya simba hata yakiwa makubwa na ya kuhatarisha maisha ya watu wanayafumbia macho
Umeongea ukweli japo mashabiki wa Simba watakuona mamluki
Viongozi wa TFF na Baraza la michezo,hatutaki kusikia kamati ya masaa 72,heel nooooh.Masaa 24 tunasubiria adhabu ya nguvu kwa simba team na mashabiki wake.Viongozi walikuwepo na hata kuwashawishi mashabiki wakachimbe dawa.Msije kufumbia macho hili.Huu Sio utani ,bali utani umevuka mpaka😢😢😢😢
Kweli kaka ww unanidhamu na maarifa
Sababu ni ndumu na ngada.
Kama unajielewa jiondoe kwenye kilabu cha ulevi na bhangi
mchome mnasema mamluki na uyu jee
WEWE NENDA KAKOGE UNANUKA