USISAHAU KU-SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU KWA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU. INSTAGRAM @pmtvtz TIKTOK @officialpmtv TOVUTI: www.pmtv.co.tz
Sign in to join the conversation
Kweli kabisa
Sawa sawa ni kweli kabisa ligi ya Tanzania inazingua bora hata tumu ingie ligi ya zanzibar
Maa Shaa ALLAH, tupo pamoja
Safi sana
❤❤❤❤ sisi kama familia ya Azam fc tumefurahi
Mkuki kwa nguruwe .kwa binadamu 😮 mhmm 😢😢
Bora Tu. Mzee WANGU. Fanya hivyoo aiseee
Mzee wa Azam uko sawa kwa kweli
Kwani huyu ndiye Said Salim Bakhresa
Mpaka Boss kaongea kuna kitu kimezingua siriasii
Mzee Ubarikiwe sana kwa kusema ukweli Kabisaa
Bora umeongea leo ALHAMDULILLAH ila umechelewa sana kusema hiki unachokisema leo tuungane wote kwa hili
Mzee unafact Mbona umechelewa kusema
Jamani bossi anaongea kwa uchungu jamn marefaa badilikeni basii yan mpaka leooo huyuu kaongee hata so muongeaji jamn duuuuu
Ni kweli kabisa ili kila siku nalipigia kelele na wasipojirekebisha mpira wetu ndo unapotea wallah
Haya ndiyo maneno mzee wangu tiftif inaendesha siasa na sio mpira
Kolo kabebwa mtu kafanyiwa rafu razimeni anasema offside kweli kolo alikuwa anatafutiwa kombe😅😅😅😅
Watu wanawekeza pesa halafu kikundi Cha watu wa chache kinaamua nani atakuwa mshindii naunga mkono hoja mzee wa Azam
Sio marefa hata tff yenyewe
Mlipanga matokeo na yanga vipi hapo mkamdhulum simba mechi ya ligi na Arajiga wenu...marefa siyo wabovu wanapewa maelekezo nani ashinde nani afungwe.
Kweli kabisa
Sawa sawa ni kweli kabisa ligi ya Tanzania inazingua bora hata tumu ingie ligi ya zanzibar
Maa Shaa ALLAH, tupo pamoja
Safi sana
❤❤❤❤ sisi kama familia ya Azam fc tumefurahi
Mkuki kwa nguruwe .kwa binadamu 😮 mhmm 😢😢
Bora Tu. Mzee WANGU. Fanya hivyoo aiseee
Mzee wa Azam uko sawa kwa kweli
Kwani huyu ndiye Said Salim Bakhresa
Mpaka Boss kaongea kuna kitu kimezingua siriasii
Mzee Ubarikiwe sana kwa kusema ukweli Kabisaa
Bora umeongea leo ALHAMDULILLAH ila umechelewa sana kusema hiki unachokisema leo tuungane wote kwa hili
Mzee unafact Mbona umechelewa kusema
Jamani bossi anaongea kwa uchungu jamn marefaa badilikeni basii yan mpaka leooo huyuu kaongee hata so muongeaji jamn duuuuu
Ni kweli kabisa ili kila siku nalipigia kelele na wasipojirekebisha mpira wetu ndo unapotea wallah
Haya ndiyo maneno mzee wangu tiftif inaendesha siasa na sio mpira
Kolo kabebwa mtu kafanyiwa rafu razimeni anasema offside kweli kolo alikuwa anatafutiwa kombe😅😅😅😅
Watu wanawekeza pesa halafu kikundi Cha watu wa chache kinaamua nani atakuwa mshindii naunga mkono hoja mzee wa Azam
Sio marefa hata tff yenyewe
Mlipanga matokeo na yanga vipi hapo mkamdhulum simba mechi ya ligi na Arajiga wenu...marefa siyo wabovu wanapewa maelekezo nani ashinde nani afungwe.