Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
ADVERTISEMENT
Mliuza timu kwa yangaaaa
Ungefungwa na nyuma mwiko ungetabasamu meno yote32 lakini kufungwa na simba umenuna kama umemeza mwarobaini
Bora Leo umenena wewe nasisi Mashabiki tuko Nyuma yako tuna kuunga mkono
Azam waonewa wakat Simba tulinyongwa penat game ya ligi hukuja kutoa tamko
Leo kumbe nanyi munaumiagaa basi Fanya kweli pengine utawanyoosha malefa na uongozi wote wa mpira🎉🎉🎉
Mwambie mwanao yusufu ache uswahiba na Yanga mzee wewe ni Simba mwenzetu
Unalaumu mchezo WA Jana umesahau ujinga uliofanya na yanga.
Ushauri wa bure kwa Azam.... please anza na kutoa udhamini wako..kuanzia League hadi tv....tuone kama hawatojipanga... Laa sivyo hawatojifunza wala kuelewa.....it's a mindset...
Wakati simba tunasema malafa nynyi mko kimy
Tafadhali tafadhali usifanye kosa hili kubwa usife bila kumpa Bwana Yesu maisha yako
Baada ya manyau nyau Jana ameona bora azungumze🎉🎉
Mzee tulia sindano iingie vizuri, unakumbuka penalty waliyonyimwa Simba ? Imeona sasa jinsi inavyouma kwa kutotendewa haki? Siku ile ulifurahiiii😂😂😂
Yanga ndo wanaharibu ligi yetu
Huyo siyo mmiliki wa azam Mzee said hawazi kuzungumza hivyo hata sikumoja ndiyomana mzee said mwenyewe amemwacha hapo rivingisto
Azamu akiondoka na timu ligi kuu itakuwa nafasi ya 50 Africa
bosi uko sahihi sana Simba inabebwa sana Kwa mechi ya Jana azamu imeonea sana Kwa kadi nyekundu ya faisali kalia anawatuma malefa waibebe Simba angalia yanga mechi walipangiwa back back.waliumizwa wachezaji lakini kukumi hakuna kalia na bodi ya lingi ni wasenge sana ludi ligi ya mzanzibali baba.hata mawazili wa michezo mashabiki wa simba
wakati viongoz wa Simba wanaomba waletwe marefa kutoka nnje. nyinyi mulikaa kimya
Mpira wa Tanzania ni kama siasa .
Leo baada ya kuungana na yanga ukashindwa ndipo ulalamike Juzi ulimuuzia yanga mechi ya ligi kuu ili naye akusaidie crdb kombe Mbona ulivyopigwa 3 na yanga ulikaa kimya?? Acha kujidhalilisha mzee
Simba vs azam mechi ya ligi simba ilionewa