MMILIKI WA AZAM FC" TUMECHOKA NA LIGI YA BARA #tanzania #simbasc #yangasc #azamfc #habaritrends
ADVERTISEMENT
Comments 54
agathe_prévost:
Yaani leo mzee unalia na marefa?wakati wakina mangungu wana…
More Like This
7:54
Simba SC 0-0 Mogadishu City Club | Highlights | CECAFA Kagame Cup 24/07/2026
Sports
523
51
0:26
IShowSpeed Couldn't Escape This Rumor 😭
Sports
18.2k
0
8:17
Arsenal 'explore' Vinicius Junior move as Real Madrid Yan Diomande bid rejected
Sports
2.7k
100
1:12
Viv Richards Faced Bouncer's Rain from Steve Waugh - Analysis #short #cricket #crickethighlights
Sports
1.2k
0
9:16:44
Caymanas Park Jamaica | Saturday, July 25, 2026
Sports
425
0
0:47
When Nerd Tries Basketball 😱 #basketball #streetball #professor #nba #shorts
Sports
12.4k
0
1:27:59
2026 Emirates Great Britain Sail Grand Prix | Portsmouth | Day 1
Sports
754
0
4:34
NRL 2026 | Bulldogs v Warriors | Match Highlights | Round 21
Sports
1.2k
0
You've reached the end
Yaani leo mzee unalia na marefa?wakati wakina mangungu wanasema kuhusu marefa ,tff na bodi ya ligi ulikuwa wapi?
We kajiunge tu zanzibar hujakatazwa
Safi sana uamuzi mzuri,wanawatesa marefa hasa mkicheza na simba
shida iko wapi timu huna HATA kimataifa hufanyi vizuri
Bila y timu zote kuwa wamoja huu ujinga hauishi
Yanga amekufunga goli 3 mbona ukulalamika?
Tafuteni wachezaji wa maana na muwe na mchezaji wa 12 yaani mashabiki wakutosha kwa sasa bado ni ngumu kumshinda simba au yanga....😊
Mbona kimataifa timu yako haifiki popote
JANA SIMBA WAMEZIDI BANA,ILE RED CARD,ILE OFFSIDE,TEAM INAYOIFUNGA AZAM KIHALALI NI YANGA PEKE YAKE,NDIO MAANA GAME ZAO HEAVY SANA😂😂😂😂😂😂😂😂
Sawa mzee
Pole Sana mzee wetu,ni matokeo ya Taifa kutokuwa na uadilifu,hivyo Sisi kama serikali tulichopanda kinaendelea Kuota ktk kila taasisi.Haki ikitoweka hakuna litakalosimama.
Sawa mzee ila usitutishe mpira hauko hivyo
Sawa kbsa michezo haiendi hivi hawezakani kila mwaka Kuna mchongo wa ubigwa Kwa timu Fulani tuchezeni mpira wa haki
Makosa wakifanya azam refa yoko faster ila akifanya simba refa anadilay
Eti wameonea munaleta mwakinyo uwanjani??
Poleni sana mzee
Nenda
Safi sana
kabisa hwa wanzingua sana
Sawa