The Official YouTube Channel Account J&R Mtita Friom Tanzania Regrister by Tanzania Communications Regulation Authority (TCRA) Booking : [email protected] Contact : +255 716 051 853
ADVERTISEMENT
The Official YouTube Channel Account J&R Mtita Friom Tanzania Regrister by Tanzania Communications Regulation Authority (TCRA) Booking : [email protected] Contact : +255 716 051 853
Tatizo hawana pakupeleka vurugu zao hawana ofice sasa wataenda wapi sasa ndo wanamaliza muda hivyo
Hawana aibu azam wamejifunga bila bado mbeleko ya refa
Hiyo ni sawasawa na kusema shirikisho ni kubwa kuliko ligi ya mabingwa. YANGA BINGWA
Wananchi Wanaeneo Simba hawana Eneo yanga wawa Kodishe Eneo Kwa Leo
Alafu ukipata ili kombe ...unaenda kushiriki kombe gani kimataifa
Simba walizulumiwa ubingwa kwa uto si wahalali
Ni kweli mkubwa sana tena sana
😂😂😂malimbukeni wana shida!!, Yanga ni kubwa tuwaache wafurahi wameteseka sn
Hii ndio timu ya Kwanza kupiga paredi ya FA duniani😂😂😂😂record kubwa kama goli la chama
Wanayanga mnalo ovyo😢
Mulize uyo mjiga wa nuksi hili aede klabu bingwa lazima abebwe na yanga
Mamwehu!! Goli limewashinda
Mbona wanasimba wenyewe wanahesabika. Nawe mtangazaji eti wamefika Kwa wingi sana jamaniii
Kama Hilo ndio kombe kubwa muulizeni wanacheza mashindano gani?
Leo mnaona kombe kumbwa ili kuishiwa uko
Kama wee😂😂
ubingwa wa kupewa aman tuliwafanya nn msenge mwenzenu akakataa goli
Hawana pakwenda kufanyia paredi eneo lao dogo wamejiweka kisingizio chao et kuwasimanga yanga hawaiwez yanga ni club kubwa
Simba wamereta ushamba jana pale jangwan
Club ya yanga ipo jalalani mazingira machafu but all in all am happy nime chimba dawa