#Yangasc #Tetesizausajilimpya #WachezajiwapyaYangasc #alikamwe #hansrafael #Uchambuziwamichezo #mchomemapovu #Enghersisaidi Fagio la CHUMA limepita Bila huruma jangwani Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7. Abubakari Salum sure boy 8. Farid Mussa 9. Celestine Ecua 10. Israel Mwenda amerejea Singida BS 11. Shadrack Boka anaondoka mrithi wake nitakutajia Kone 12. Lassine kouma Wachezaji wanaosajiliwa Yanga 1. Yves Koutiama mshambuliaji wa Burkina Faso Na police Kenya magoli 11 mechi 17 ameingia dirisha Dogo 2. Azizi Ki 3. Nasri Kombo beki kutoka TRA United. 4.Samba Kone mrithi wa Shadrack Boka LB & CB assist 6 Miaka 23 ivory Coast Yanga wanamtaka mlinzi wa kushoto wa Mouna FC raia wa Ivory Coast 🇨🇮,Samba Koné (23) ✅Yanga wanamuona Kone kama mbadala sahihi wa Boka. ❌Kone anamaliza mkataba wake na Mouna FC,june 30 mwaka huu. Mchezaji huyo amewahi kupita Paradou FC ya Algeria 🇩🇿. Msimu huu Kone katoa assist (4) huku akitajwa kama beki bora wa kushoto kwenye ligi ya Ivory Coast. 5. 🚨Taarifa za usajili zinaeleza kuwa klabu ya Yanga ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa nyota wa klabu ya Anzoategui FC (Academia Anzoategui) inayoshiriki Ligi daraja la pili nchini Venezuela (FUTVE 2) Guillermo Leon Marin Pino maarufu kwa jina la Memo mwenye umri wa miaka (24). Pino anaweza kucheza nafasi mbalimbali kama vile Winga wa kulia (RW), Winga wa kushoto (LW) na kiungo Mshambuliaji. Kabla ya kujiunga na Anzoategui mnamo mwaka 2023 alikuwa anaitumikia klabu ya Deportivo La Guaira. Akiwa na Anzoategui msimu huu Pino amefanikiwa kuhusika kwenye mabao (5) baada ya kufunga mabao (3) na kutoa assisti (2) akicheza dakika (876) kwenye michezo (13). 6. Mosi Nduwumwe huyu ndiye top score ligi kuu Mechi 15 magoli 17 na ndiye mrithi wa Prince Dube,ni raia WA Burundi Miaka 25 Kocha wanaotajwa Kwa sasa Chavalier wa aasec mimosas ya ivory Coast na fadlu davids wa Raja
ADVERTISEMENT
Namkubali sana shua boy
Sallum Abubakar Sure boy angebaki kikosini kwa heshima.
Kwa tetesi hizi zikiwa kweli kombe la clabu Mabingwa Caf tutakua tishio,
Atafutwe badala wa mwamnyento, pia kama kunauwezekano warudi miludi hamadi yule jamaa ni kocha hata kolsaves hamfikiii hayo ni yangu binafsi
Doumbia abaki yanga
Safi saana
Hawa wote ni sawa hata damaro naye apewe thank you
Shadrack bila bado ni mziri
Hao wote n saw
Dube msimuache maoni yangu hayo
Fadlu alitoka bila kuifunga yanga, afu arudi tena kwetu !!!! Itakuwa " Daima nyuma mbele mwiko""
Salum abubakari salum bado mm nahitaji sana jangwani
Msajili 2 na girumugisha hapo yanga itachukua mpaka champion league
Kwa usajili huu tunataka ubingwa utangazwe kabla ya ligi kumaliza kama kawaida ya Yanga tunavyoijua.
Dube Mimi nilimkubali katika mechi ngumu
Mwenda ninasikitika
Yanga bingwa , ulinzi wazawa hapo nyuma hakuna kupita
Equa tulikosa kumvumilia. Na kumpa nafasi. Ila huyo mzungu. Awe mchezaji, maana mambo ya "LETE MZUNGU SIO!!!. MH TENA KWA WANANCHI"
Pia atafutwe mbadala wa mamnyeto
Chavalias tumpime kipindi Cha kwanza