Simba SC imenyakua Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuichapa Azam FC bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliopigwa kwenye Dimba la Gombani Pemba.
Goli pekee la ubingwa limefungwa Yahya Zayd ambaye amejifunga dakika ya 62.
ADVERTISEMENT
Comments 94eloisa.cardenas:
Asante Mungu tumebeba kombe la muungano na crdb federation …
Asante Mungu tumebeba kombe la muungano na crdb federation cup❤🎉🎉
Congratulations 👏 my team big win
Likes zenu WANALUNYASI😊
Congratulations sana Simba kwa ushindi🙏🙏🙏
Asantè mungu❤❤❤❤❤❤❤
Mungu ni mwema
Raha sana huu msimu
Nilijua Azam lazima wafungwe kama kawaida yao
Nguvu moja
Wow just wow vibaraka wa gongo wazi wamekufa hatimae
Nani amewatuma nyie Azam tutawafuatilia😂😂😂😂😂
Tutawafatilia😂😂😂
REFA ANAONEKANA ALISHAWAHI KUOMBA KAZI AZAM AKAKATALIWA.. YANI CHUKI ZA WAZI KABISA. HAPA HAKUNA REFA.
Tuta wafatilia
Nimepitia comet zote hamna alosema uwanja wagombani ni best kuliko 😂❤🎉🎉😢😮 amani
Yaani wapemba wameshindwa kujaza uwanja fainali?😮
Comment yangu ndio ya 100 kaamil😂
Naomba like mi wakwanza kutoka singida
Asante sana simba kwakutupa kombe
Hivi Kwa nn mangungu havaagi jezi za mnyama?