0:00
10:30
10:30

Simba SC 1-0 Azam FC | Highlights | Fainali | CRDB Bank Federation Cup 04/07/2026

Sports

Simba SC imenyakua Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuichapa Azam FC bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliopigwa kwenye Dimba la Gombani Pemba. Goli pekee la ubingwa limefungwa Yahya Zayd ambaye amejifunga dakika ya 62.

ADVERTISEMENT
Comments 94 eloisa.cardenas: Asante Mungu tumebeba kombe la muungano na crdb federation …