π΄#Live: YANGA WAFUNGUKA MAZITO - HALI ya PACOME - PAREDI ya UBINGWA - ALI KAMWE AUNGURUMA... ============================================================= β«οΈ JE, NA WEWE UNA HABARI? β«οΈ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 760 403894 or 255 783 453136) β«οΈ Email: [email protected] β«οΈ OUR PLAYLISTS: β«οΈ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO β«οΈ MAKALA ZA WATU MAARUFU ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua β«οΈ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio β«οΈ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews β«οΈ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ β«οΈ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: β«οΈ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 β«οΈ iOS:https://apple.co/38HjiCx
ADVERTISEMENT
Ally Kamwe - ndg yangu pamoja na Pared tutakalo fanya Naomba sana mngeweka utaratibu ili wanayanga tuchangie pesa kwa ajili ya professor pacome plz π
Kristo Yesu tunakuomba Sema Neno Moja tu Mganga wa Ulimwengu Pacome Apone Amina.
Mungu akuponye haraka inshallah
Mungu ampe uponyaji wa haraka Pacome arudi kwenye hali yake ya kawaida
Mungu amponye pakome halaka
Wana yanga tumuombee pacome na tufunge kwa ajili yake
katika kiumbe chochote kilicho zaliwa kina mtegemea mungu asiye onekana akuzaa wa wala kuzaliwa akuwekwa msalabani pacome atapona kwa uwezo wa Allah inshaallah
Ni ajali TU kazini Allah amfanyie wepesi inshallah π
Ni mashetani tu Hadi wanakela ila mungu wangu ni WA Imani YOHANA 11:40
Mungu awezaye kufufua aliye mfufua Lazaro atamponya jeraha la pakome yy ndie muumba nyama na mifupa amen
Mungu atamponya pakome wetu ameen
Mungu ampa Afya njema na apone haraka
mungu ulie tuumba wana wako mponye pacome
πππ
Saf sana ALLY naamini mimi kama mwana jangwani umenikosha sana juu ya hili la pakomeβ€β€β€β€β€
Nami nakuunga mkono brother Ali kamwe.ubingwa tena juma toka mbarara Uganda πΊπ¬ nimtanzania harisi πΉπΏ
Poleni sana
Ahsante sana msemaji wetu unaupeo wa mbali hao nikolo waende milembe wakatibiwe milembe.
Mungu amponye
Namuombea kwa Allah amfanyie Shufaa Pacome apone haraka ili aweze kurejea katika majukumu yake ya kila siku. Familia ya wana Yanga Tunakupenda sana mchezaji wetu. Mungu akuponye haraka shujaa wetu . Amina!!