Soultrob Soultrob
Home Videos Search Liked Videos Bookmarked Inbox Notifications Sign In
Get it on Google Play Log In
Soultrob
0:00
21:44
21:44

MCHUNGAJI:TUKUBALI YANGA WAMETUZIDI,YULE NI MCHEZAJI MKUBWA SANA,ANAE PONDA SIO MTU WA MPIRA

Sports
ADVERTISEMENT
Comments 24 marie_austin: Yaani msimu huu tukubali tena kuwaachia yanga ubingwa, maan…
More Like This
🚨LIVE : JAMUS FC VS  SIMBA SC MICHUANO YA CECAFA KAGAME CUP KIVUMBI LEO 2:59:46
🚨LIVE : JAMUS FC VS SIMBA SC MICHUANO YA CECAFA KAGAME CUP KIVUMBI LEO
Sports 122 0
MCHOME MAPOVU APAGAWA USAJILI WA SHALULILE YANGA/ETI MZEE TUMEMKOSA HATUNA HELA/YANGA BINGWA 20:31
MCHOME MAPOVU APAGAWA USAJILI WA SHALULILE YANGA/ETI MZEE TUMEMKOSA HATUNA HELA/YANGA BINGWA
Sports 579 0
Training with Alejandro Garnacho ⛽️ 0:32
Training with Alejandro Garnacho ⛽️
Sports 15.8k 100
🚨💣 BARÇA DECISION! GYOKERES SWAP, JULIÁN, KROUPI VERDICTS! SALAH, BOUADDI, REAL PLANS AFTER DIOMANDE 8:15
🚨💣 BARÇA DECISION! GYOKERES SWAP, JULIÁN, KROUPI VERDICTS! SALAH, BOUADDI, REAL PLANS AFTER DIOMANDE
Sports 8.1k 100
1ይ ዕለታዊ ዜና ስፖርት ሰሉስ 28 ሓምለ 2026፦ ዘይትጽቢታዊ ዕድጊ ገዳይም ተጻወቲ ወልበክን ሄንደርሰንን ብቸልሲ // 2ይ ቀብሪ ኲዕሶ እግሪ ኢጣልያ...! 17:37
1ይ ዕለታዊ ዜና ስፖርት ሰሉስ 28 ሓምለ 2026፦ ዘይትጽቢታዊ ዕድጊ ገዳይም ተጻወቲ ወልበክን ሄንደርሰንን ብቸልሲ // 2ይ ቀብሪ ኲዕሶ እግሪ ኢጣልያ...!
Sports 2.7k 76
West Indies vs Pakistan 1st Test Match Day 4 Full Highlights 2026 29:27
West Indies vs Pakistan 1st Test Match Day 4 Full Highlights 2026
Sports 0 0
Highlights | West Indies v Pakistan | 1st Test Day 4 14:03
Highlights | West Indies v Pakistan | 1st Test Day 4
Sports 2.7k 100
American Lad At The All Ireland Final #funny #irishcomedy #mayo #gaa 1:28
American Lad At The All Ireland Final #funny #irishcomedy #mayo #gaa
Sports 696 50
You've reached the end

Comments 24

Sign in to join the conversation

Sign in
M
marie_austin 16 hours, 5 minutes ago

Yaani msimu huu tukubali tena kuwaachia yanga ubingwa, maana viongozi wetu hawako serious, miaka yote hii tumekuwa tunashindwa kufanya vizuri kwa sababu ya kukosa washambuliaji wa kueleweka nilitegemea mwaka huu watawekeza nguvu kubwa sana kupata mshambuliaji hatari.

L
lilia_medrano 14 hours, 59 minutes ago

Kweli hawa kinyesi FC tatizo

B
bertrand_charpentier 16 hours, 39 minutes ago

Mchungaji Kawa mpole Sana pole buana

C
christopher_thompson 14 hours, 52 minutes ago

Leo ndo umeongea point mchungaj

J
james_west 14 hours, 51 minutes ago

Bado mtasubili sana na kuumia kwenu

L
lucieadam19 15 hours, 37 minutes ago

Wewe mchungaji hujui kitu. Shaluille ana injury. Timu moja ya Zimbabwe alikoenda kujaribiwa amefeli aliporudi Simba nao wakashituka. Utopolo wamembeba. Msimu uliopita alifunga goli 3 tu bila assist ktk michezo 23. Simba tunamtaka Maseko. Shalulile alishashuka kiwango. Angekuwa bora Sundown wasingempa thank you.

anel.valdez
anel.valdez 15 hours, 39 minutes ago

Apo Amna mwandishi

victoria.solano
victoria.solano 16 hours, 3 minutes ago

Mtumishi wa unatupoteza sema ukweri atuna timu😂

alexislopez263
alexislopez263 13 hours, 39 minutes ago

Subirini 12/8/2026 tutaona maneno hayo utayasema tena.

S
sierrahayes217 7 hours, 24 minutes ago

wakati mwingine ukiwa mtu mzima ongea vinavyoeleweka. Tanzania haina mchezaji kwenye ligi yoyote kubwa kwenye tano bora zambia wanao wachezaji. Banda yuko Lecce, Daka yuko Humberger sv, Mtandwa yuko Calgrilia etc.

anel.valdez
anel.valdez 16 hours, 1 minute ago

Huyu mchungaji amechanganyikiwa sasa

claude.renard
claude.renard 5 hours, 57 minutes ago

Mchungaji jifunze kwamba ligi bora na mchezaji bora ni vitu viwili tofauti. Kwa Tz tuna ligi bora kwa mambo mengi ila hatuna wachezaji bora

J
joe_hammond 7 hours, 40 minutes ago

Mtangazi naomba umkubalie huyo mchungaji kwa sasa mpira umebadilika, zamani mashabiki wa lunyasi walikuwa mambumbumbu kwa sasa hivi ni wajanja wanakunya kunya hadharani.

kerry_nicholson
kerry_nicholson 15 hours, 32 minutes ago

maneno yatakuponza, hasra mtaenda kuweka mizigo jangwani

E
enzogabriel_pacheco 15 hours, 17 minutes ago

Mchungaji Msije Sema GSM wanaharibu ligi Acha tuone huousajili wa Yanga mbovu

vincent_keer
vincent_keer 6 hours, 7 minutes ago

Mchezaji yoyote Kama ni mzuri sanaaaa hua sio rahisi kuuzwa….

S
sherrybaker792 15 hours, 3 minutes ago

nimekubari yanga wametuzudi ss viongoziwetu wamezubaa sana yanga wameramba dume

C
crystal.johnson 15 hours, 33 minutes ago

Hapa ndio unaona akili ya shabiki wa Simba mwisho wa ligi Hawa utasikia tunasubiri timu Fulani itatuzuilia wasichuikue ubingwa

K
kristin.ford 16 hours, 12 minutes ago

mchungaji umepoa leo kilicho wafanya mkanye jangwani mtatuambia

I
ianvoid39 11 hours, 57 minutes ago

Mcheza gani wakati kuna timu nyingi za south africa mbona azikumtaka kuna kaiza chief orlando pirate kwani awakumuona shilole

You've reached the end
  • Home
  • For You
  • Search
  • Sign In