MCHUNGAJI:TUKUBALI YANGA WAMETUZIDI,YULE NI MCHEZAJI MKUBWA SANA,ANAE PONDA SIO MTU WA MPIRA
ADVERTISEMENT
Comments 24
marie_austin:
Yaani msimu huu tukubali tena kuwaachia yanga ubingwa, maan…
More Like This
2:59:46
🚨LIVE : JAMUS FC VS SIMBA SC MICHUANO YA CECAFA KAGAME CUP KIVUMBI LEO
Sports
122
0
20:31
MCHOME MAPOVU APAGAWA USAJILI WA SHALULILE YANGA/ETI MZEE TUMEMKOSA HATUNA HELA/YANGA BINGWA
Sports
579
0
0:32
Training with Alejandro Garnacho ⛽️
Sports
15.8k
100
8:15
🚨💣 BARÇA DECISION! GYOKERES SWAP, JULIÁN, KROUPI VERDICTS! SALAH, BOUADDI, REAL PLANS AFTER DIOMANDE
Sports
8.1k
100
17:37
1ይ ዕለታዊ ዜና ስፖርት ሰሉስ 28 ሓምለ 2026፦ ዘይትጽቢታዊ ዕድጊ ገዳይም ተጻወቲ ወልበክን ሄንደርሰንን ብቸልሲ // 2ይ ቀብሪ ኲዕሶ እግሪ ኢጣልያ...!
Sports
2.7k
76
29:27
West Indies vs Pakistan 1st Test Match Day 4 Full Highlights 2026
Sports
0
0
14:03
Highlights | West Indies v Pakistan | 1st Test Day 4
Sports
2.7k
100
1:28
American Lad At The All Ireland Final #funny #irishcomedy #mayo #gaa
Sports
696
50
You've reached the end
Yaani msimu huu tukubali tena kuwaachia yanga ubingwa, maana viongozi wetu hawako serious, miaka yote hii tumekuwa tunashindwa kufanya vizuri kwa sababu ya kukosa washambuliaji wa kueleweka nilitegemea mwaka huu watawekeza nguvu kubwa sana kupata mshambuliaji hatari.
Kweli hawa kinyesi FC tatizo
Mchungaji Kawa mpole Sana pole buana
Leo ndo umeongea point mchungaj
Bado mtasubili sana na kuumia kwenu
Wewe mchungaji hujui kitu. Shaluille ana injury. Timu moja ya Zimbabwe alikoenda kujaribiwa amefeli aliporudi Simba nao wakashituka. Utopolo wamembeba. Msimu uliopita alifunga goli 3 tu bila assist ktk michezo 23. Simba tunamtaka Maseko. Shalulile alishashuka kiwango. Angekuwa bora Sundown wasingempa thank you.
Apo Amna mwandishi
Mtumishi wa unatupoteza sema ukweri atuna timu😂
Subirini 12/8/2026 tutaona maneno hayo utayasema tena.
wakati mwingine ukiwa mtu mzima ongea vinavyoeleweka. Tanzania haina mchezaji kwenye ligi yoyote kubwa kwenye tano bora zambia wanao wachezaji. Banda yuko Lecce, Daka yuko Humberger sv, Mtandwa yuko Calgrilia etc.
Huyu mchungaji amechanganyikiwa sasa
Mchungaji jifunze kwamba ligi bora na mchezaji bora ni vitu viwili tofauti. Kwa Tz tuna ligi bora kwa mambo mengi ila hatuna wachezaji bora
Mtangazi naomba umkubalie huyo mchungaji kwa sasa mpira umebadilika, zamani mashabiki wa lunyasi walikuwa mambumbumbu kwa sasa hivi ni wajanja wanakunya kunya hadharani.
maneno yatakuponza, hasra mtaenda kuweka mizigo jangwani
Mchungaji Msije Sema GSM wanaharibu ligi Acha tuone huousajili wa Yanga mbovu
Mchezaji yoyote Kama ni mzuri sanaaaa hua sio rahisi kuuzwa….
nimekubari yanga wametuzudi ss viongoziwetu wamezubaa sana yanga wameramba dume
Hapa ndio unaona akili ya shabiki wa Simba mwisho wa ligi Hawa utasikia tunasubiri timu Fulani itatuzuilia wasichuikue ubingwa
mchungaji umepoa leo kilicho wafanya mkanye jangwani mtatuambia
Mcheza gani wakati kuna timu nyingi za south africa mbona azikumtaka kuna kaiza chief orlando pirate kwani awakumuona shilole