Yaani huyu jamaa Kilq mwaka analalamika ,anatimu mbovu , kwani Yanga kapata ubingwa kwa point za Simba tu
S
sarah.zuniga4Β weeks ago
Kawaida ya mchawi akisha kumtoa mwanawe uchawini baadae anarudi kwenye jamvi la msiba kushirikiana na wafiwa kulia, basi ndio baadhi ya viongozi wa Simba walivo. Naamini sana kuwa wapo baadhi ya viongozi wa Simba wanajua nn yanga wanachokifanya lkn wanashindwa kutamka kinachofanywa kwa sababu ni wachawi wenzao
mariacecΓliaalbuquerque4274Β weeks ago
Kwa hiyo zigo wanabebeshwa marefa upuuzi mtupu mmeacha kuangalia timu inaendeshwaje lenu kubwa ni mnahangaika na yanga
Mpira ulishikwa na sele kabla goli alijafungwa oyaa kisugu atuchezi rede sisi
J
jacquelinesanchez8704Β weeks ago
Waamuzi wengi waliofungiwa na kupewa onyo waliochezesha mechi za yanga na timu nyingine
jamesstream974Β weeks ago
Simba wamefelishwa na waamuzi kutopata ubingwa
R
robert.maldonado4Β weeks ago
Tusilaumu waamuzi kwakua swala la waamuz limekua wimbo wa taifa na badalayake wa kulaumiwa ni wenye mamlaka ya kusimamia ligi yan wahusika bod ya ligi na tff kwakua wanayaona hayo na bado hawatoi tiba sawa na mgojwa aliepata malaria kali unampa panado ili kupunguza maumivu bila kumpa dawa amboyo itamtibu ndicho bod ya ligi na tff ndicho wanachofanya hawana tiba
Hapo kweli kisungu Mimi mwana simba ila pacome ameniumiza lohoni tukio lile
Mbona kuna mechi zenu waamuz wamefungiwaππππ,mmebebwa hambebekiπππ
Kwa namna hiyo utasubiri sana kwa wananchi.
Kwasamia wambie tu ukweli na kikwete
Tuna kupata Mzee kisuguu, waambie ukweli
Kumbe Simba timu ndogo kama hadi marefa wanaioneaπππ
heee, kisugu nae okello day
Inawezekana kuchukua ubingwa had 2030 kwakua ligi inaongozwa na clb ya yanga
Hao waamuzi wanachukua Rushwa pamoja na KARIA na bodi ya ligi
Wandishi some times mnajishusha hadhi na mnakuwa unprofessional kwa kulazimisha content huyu jamaa sio ata wa kumuhoji anawqvunjia heshima sana
Upo sawa kaka kisugu ila wapumbav t wanao tma comment zakjnga wasio elewa mpra waropokaj t mitandaon
Yaani huyu jamaa Kilq mwaka analalamika ,anatimu mbovu , kwani Yanga kapata ubingwa kwa point za Simba tu
Kawaida ya mchawi akisha kumtoa mwanawe uchawini baadae anarudi kwenye jamvi la msiba kushirikiana na wafiwa kulia, basi ndio baadhi ya viongozi wa Simba walivo. Naamini sana kuwa wapo baadhi ya viongozi wa Simba wanajua nn yanga wanachokifanya lkn wanashindwa kutamka kinachofanywa kwa sababu ni wachawi wenzao
Kwa hiyo zigo wanabebeshwa marefa upuuzi mtupu mmeacha kuangalia timu inaendeshwaje lenu kubwa ni mnahangaika na yanga
Mpira ulishikwa na sele kabla goli alijafungwa oyaa kisugu atuchezi rede sisi
Waamuzi wengi waliofungiwa na kupewa onyo waliochezesha mechi za yanga na timu nyingine
Simba wamefelishwa na waamuzi kutopata ubingwa
Tusilaumu waamuzi kwakua swala la waamuz limekua wimbo wa taifa na badalayake wa kulaumiwa ni wenye mamlaka ya kusimamia ligi yan wahusika bod ya ligi na tff kwakua wanayaona hayo na bado hawatoi tiba sawa na mgojwa aliepata malaria kali unampa panado ili kupunguza maumivu bila kumpa dawa amboyo itamtibu ndicho bod ya ligi na tff ndicho wanachofanya hawana tiba
tunakuombeya DUWA usichanganyikiwe, maana umechanganyikiwa mapovu yanakutoka
Big up kwako kisugu ππππππβ€β€β€β€β€