SUBSCRIBE NOW: 🌐 Site: https://simbasc.co.tz/ 📱 App Store - https://apps.apple.com/tz/app/simba-sc/id1564389213 📱 Play Store - https://play.google.com/store/apps/details?id=com.simbasc&hl=en 🔵 Facebook: https://www.facebook.com/simbatanzania/ 📸 Instagram: https://www.instagram.com/simbasctanzania 𝕏 Twitter: https://twitter.com/SimbaSCTanzania 🎶 Tiktok: https://www.tiktok.com/@simbascofficial About the Official Simba SC YouTube Channel: Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference 🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
ADVERTISEMENT
Na huu ubingwa tumeukosa Kwa sababu ya refa mmoja kukataa Gori letu la mwalimu et ni offside
Ubaya ubwela season 3 must work
Wamshukuru arajiga bila hivyo Ametunyima ubingwa refa ila hakun jinsi acha tujipange next league
Ahmed umejaaliwa sana kutupumbaza kwa miaka yote 5 ila ukweli mchungu ubingwa mwaka huu tumeukosa kwa sababu kuu 1,maamuzi mabaya ya waamuzi (mbeleko ya uto) 2,viongozi wetu kubweteka na ubora wa timu na kuacha mikakati ya ushindi kwa kila mechi 3,Benchi la ufundi na wachezaji wetu kucheza baadhi ya mechi tukiwa tuna wadharau wapinzani na kujiona sisi ni bora zaidi unaona timu imepata kagoli kamoja wachezaji wnacheza kw kuliracks antuliza mpira anshika kiuno badala ya kuongeza jitihada za kulinda na kushambulia kuongeza magoli.ila tukifungwa utaona timu inachangamka sana.Tunaomba mechi na Azamu si ya kitoto waache kabisa mchezo wao wa pasi za nyuma dk 5-10 hujafika golini kwa mpinzani,pia vipasi vya uongouongo tu vinavyohofisha kuumia waache wakapambane mwanzo mwisho hata wakiwa na goli 3 wasibweteke kocha asiwachekee wenye kupoozesha mashambulizi
Team bora msimu huu imekosa ubingwa. Simba nguvu moja ❤❤❤
❤❤❤❤
Sahihi
We love u semaji letu
Kweli semaj tunakaz yapemb hap tunataka wachezaj wakajitutumuwe haswa🎉🎉🎉❤❤❤
hata hvyo tunamshukuru mungu tumeliepuka hili lisili na maaana hujuma imejaa kwenye soka letu na ndio maana hatuendelei kwa soka la hii nchiini
Pele Brazilian,aliwahi kusema "MPIRA ni MAGOLI",ndiyo yanayoleta ushindi na HESHIMA ya Timu na ndiyo yanayoleta points. Sisi Simba hatufikirii ushindi kwa magori mengi,tunafikiria mpira pasi,na ndiomaana tukipata kagori kamoja, wachezaji WETU wanalilax kwa kupigiana pasi.
Simba yetu tukufu imezidi kupendwa na kuthaminiwa kuliko wakati wowote uliopita na kilicho sababisha hayo ni kuwepo kwa kipenzi chetu alicho turuzuku Mungu wetu Ahned Ali Mungu ampe umri mrefu na amlinde kwa kila ovu
Huyu akitoka Simba inabeba asubuhi mechi ya Leo bila refa ilikuwa 0:0
Ongea sasa 😅
Alhmdhulillah tumemaliz ligi
Ubaya ubwera simba oye
Wamechukua au wamepewa waulize pointi za simba mbona awajatudishia wamepewa nbc sisi tunachukua crdb kwa uwezo
Kocha Steve Barka ni kocha Bora,ila anashauriwaje na wasahauri wake?
Kombe la Waamuzi
Sasa kama hujui kizungu si ungeomba uandikiwe