Kiungo Mshambuliaji wa @yangasc Pacome Zouzoua Amepata Majeraha Mabaya ya Kuvunjika Mguu wake Wakati Mchezo wa Mwisho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania Kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo. Baada ya Mchezaji huyo Nyota @pacom_zouzoua Kupata Majeraha Mabaya ya Mguu wake, Mashabiki wa Soka Afrika wamejitokeza Kumpa Pole Nyota huyu Huku Wengi wakimuombea Kupona Haraka na kurejea Uwanjani kuwatumikia Wananchi. Get Well Soon Pacome Zouzoua .
ADVERTISEMENT
Pole sana Pacome
Pacom kpnz chang pole nmeumia sn๐ข
๐ข๐ข๐ข
Naomba niwashauri kama mama mpira ni MCHEZO wa furaha ukimaaliza salama lkn inapotokea mchezaji anekupa furaha akaumia unaleta majonzi sana, poleni sana wanangu hakuna AMBAE hajahuzunika kuhusu mchezaji pacome ametuuma wote tuanaependa mpira ila tumuombee Mungu amponye lkn washaurini MSHABIKI wa yanga na msemaji wa yanga Ally kamwe AACHE ushabiki usio na maadili wakuwaombea wachezaji wa Simba MABAYA mdomo unaumba MUNGU NI MKALI SANA ASIWE ANAONGEA HOVIYO
๐ข๐ข๐ข๐ข๐ข
Madhambi yatawaumbua ila poleni
๐ข๐ข๐ข
Atapona naami mungu mwemaโคโคโคโค
Pole kamanda โคโคโค
Pole sana
๐ฎ๐ข๐ข๐ข
Kunawatu wanaleta makasiriko utadhani yanga iliwachezea mechi zao,yanga bingwaaaaa
Duuh
Msiba kupokezana leo nanyinyi mnalia kweli, mesahau mlivyomsema chama au siyo, ukiua kwa upanga utauaawa kwa upanga malipo yamekamilika ndo mjifunze sasa utopolo