Chozi la Furaha la Kocha Moalin
ADVERTISEMENT
Comments 63
ericarguello266:
Kulikuwa na vigingi vingi sana lakini mungu mwema congutura…
More Like This
2:59:46
🚨LIVE : JAMUS FC VS SIMBA SC MICHUANO YA CECAFA KAGAME CUP KIVUMBI LEO
Sports
122
0
21:44
MCHUNGAJI:TUKUBALI YANGA WAMETUZIDI,YULE NI MCHEZAJI MKUBWA SANA,ANAE PONDA SIO MTU WA MPIRA
Sports
83
24
20:31
MCHOME MAPOVU APAGAWA USAJILI WA SHALULILE YANGA/ETI MZEE TUMEMKOSA HATUNA HELA/YANGA BINGWA
Sports
579
0
0:32
Training with Alejandro Garnacho ⛽️
Sports
15.8k
100
8:15
🚨💣 BARÇA DECISION! GYOKERES SWAP, JULIÁN, KROUPI VERDICTS! SALAH, BOUADDI, REAL PLANS AFTER DIOMANDE
Sports
8.1k
100
17:37
1ይ ዕለታዊ ዜና ስፖርት ሰሉስ 28 ሓምለ 2026፦ ዘይትጽቢታዊ ዕድጊ ገዳይም ተጻወቲ ወልበክን ሄንደርሰንን ብቸልሲ // 2ይ ቀብሪ ኲዕሶ እግሪ ኢጣልያ...!
Sports
2.7k
76
29:27
West Indies vs Pakistan 1st Test Match Day 4 Full Highlights 2026
Sports
0
0
14:03
Highlights | West Indies v Pakistan | 1st Test Day 4
Sports
2.7k
100
You've reached the end
Kulikuwa na vigingi vingi sana lakini mungu mwema conguturation sana to gether we wine
Hongera kocha wetu nawachezaji wetu napoleni kwa kumiziwa mchezaji wetu pakome tunamuombea kwa mwenyezi mungu atapona
Congratulation Coach Moalin umepambana sana.
*DAAH ALIPEW TEAM IKIWA KATIK WAKAT MGUM SANA WACHEZAJ WALICHOKA WENGINE HAWAPO KAMA MZIZE MARA DIKSON JOB AYUPO DUH KAZI HAKIKA KAIFANYA*
Vita ilikua kubwa ni mungu tu ametenda haki🎉🎉🎉
Honger kocha tunakupend san yanga na tunakuombea upew tim moja kw moj
Daa kocha umwpambana sana na kejeli dharu ila wakashau kama kuna muumba mbingu na ardhi ya allah tunakuomba mponye pakome muundolee zito arudi kwenye maisha yake na familiya ishallah tutakuombea mpaka mwisho
Inaumiza sana aisee
Mashabiki tumchangie pacome
Congs young africans!! Too much love from uganda 🇺🇬
Ongera sn tmu yng .yanga bingwa x 5.
Kocha Molina, job well done 👍🏽 💚💛
Ila kusema ukwel yule baba alitaka kutuua akii🙌🙌🙌any ways hongera wapambanaji wetu💛💚🥰
Hongera sana coach Mungu azidi kukupeleka viwango vya juu najua una maumivu ya mchezaji wa jezi uliyoivaa ila Mungu hajawai shindwa atapona
Hongera sana Coach,haikuwa kazi nyepesi hakika Mungu ni mwema.
Nakuelewa sana kocha
Hongera sana kocha nawachezaji wote tunampa pole pocome mungu amjalie apone haraka sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera kocha wetu tunakupenda sana,Allah amjalie pacome asipate lisiwe tatizo kubwa
Hongera sana Coach Moalin umeifanza kazi ya ziada 🙌🏾💚💛
ina uma sana 😭😭😭