0:00
10:52
10:52

JKT Tanzania 0-3 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 30/06/2026

Sports

Yanga SC imehitimisha msimu wa Ligi Kuuya NBC 2025/26 kwa kishindo, ikiichapa JKT Tanzania mabao 3-0 kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo na kutwaa ubingwa wa tano mfululizo. Magoli yamefungwa na Prince Dube, Maxi Nzengeli na Laurindo Dilson Maria Depu.

ADVERTISEMENT
Comments 67 joshuaplume84: Raha ya ubingwa ni kombe kuletwa na ndege na sio bajaji