Yanga SC imehitimisha msimu wa Ligi Kuuya NBC 2025/26 kwa kishindo, ikiichapa JKT Tanzania mabao 3-0 kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo na kutwaa ubingwa wa tano mfululizo.
Magoli yamefungwa na Prince Dube, Maxi Nzengeli na Laurindo Dilson Maria Depu.
ADVERTISEMENT
Comments 67joshuaplume84:
Raha ya ubingwa ni kombe kuletwa na ndege na sio bajaji
Raha ya ubingwa ni kombe kuletwa na ndege na sio bajaji
Mungu mponye pacome
Mashaallah Alhamndulilah Allah nakuomba tuzididhie mafanikio zaid Inshaallah
Duke is a play maker 🎉
Aibu mtaona nyinyi🎉🎉🎉🎉
I like yangu
Get well soon pacome 🥺🥺🥺😭😭😭
Pakome wetu jaman pole sana kpez chetu
Huyu max kama ndio kazaliwa upya😂😂🔥🔥🔥
Adhabu ya kadi nyekundu haimtoshi aliyefanya ile faulu kwa pacome
Wamekalia msumali duuuuuu!
Yanga siyo ya GSM, ni ya mashabiki, GSM yeye amewekeza tu...
Hongera mtaniiiii Mimi Simba lakini nimeinjoy🤝🤝🤝
Wabaya koma. Yanga mmetulaza vzr sana jana. 🎉🎉🎉🎉
Dah professor get well soon pacome
Hii helicopter juzi niliiona Masaki ikioshwa kumbe ndy ya kubeba kombe😂,duh wananchi enjoy your day ❤
Mungu.akuponye.haraka.kipenzi
Nikimuona pacome 😢 naumia sn kiukweli
Kilio kinasikiķa sehem nyingine 😂😂😂
Nzegeli ni moto namkubali sana