NAKUJA Ni hadithi nzuli yenye kusisimua inohusu maisha ya kweli wanayopitia binadamu watu wengi Hua wanaamini wanachokiamini ilimradi wapate cheo wapo tayali kupoteza ndugu rafiki kwa sababu ya tamaa sasa basi fuatilia hadithi hi nzuli utajua maisha halisi ya wanadamu nyuma ya pazia [ Tanu Brand Burudani kwa wote
ADVERTISEMENT
Walio tamani tanu wakutane na nilo kama mimi tujuwane kwa like ata mbili
Nzuri ila sisi kama mashabiki tunawashauri ongezeni dakika za episode sio dakika 20 hiz ni chache sana,angalau ziwe 26 had 30 ila sio hiz mnazo tuwekea,tunajua mnapitia changamoto katika kaz lakini jitahidini kuongeza dakika Tanu na crow yako tunaomba hili mlifanyie kazi
Jamani fanyeni bas Kila baada ya siku Moja mnaoniunga mkonooo tujuane Kwa like
Nani awe rafiki yangu ❤ like
Km umeamka slm kwa ajili ya mungu bs mwambie mungu Asante kwa siku ya leo hivyo to atakubariki sn
sisi kama mashabiki wenu tunaomba muongeze dakika yang n hayo nawapenda sana ila hilo mlifanyie kazi..❤
Kama unampenda Allah gonga like apo
Mashabiki wenzangu tujitahidi kukosoa baadhi ya vitu kwenye Sanaa hizi mfano hili la dakika inatakiwa tupaze sauti dakika ziongezwe sio dakika 20 au 24 ni chache sana angalau kuanzia 30 had 35 kwa episode ndo inatakiwa kuwa,Nakuomba Tanu ongezeni dakika hii ni Sauti ya mashabiki .Tunajua mnapitia changamoto mbalimbali kuandaa ila hivyohivyo jitahidini kuongeza dakika,hata sisi mashabiki tunapitia changamoto hivyohivyo kutafuta hela za kuweka Bando la Data kwahiyo tusikilizane🎉🎉
Nipo Mozambique 🇲🇿 jamani fan's wenu msinitenge naomba walau like ku10 tu nijisikie niyaone mapenzi yenu familia yangu
Kipara ananfurahisha sana 😅😅😅
Nilo nawew umetuchosha mda wote huo hupati msadaa
Kiparaa unanuka embe lililo iva,,uko karibu kuoza shauli yako😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉nakuja❤❤❤
Naipenda san ila ongezen dakika
Kutok burundiiii❤❤❤❤ much love mr Tanuuuu🎉🎉🎉🎉
Kwakweli mpo vzr hampoi hatuboeki🎉🎉🎉 asanteni
Wa kwanza Leo jamn
Nakuja na mimi pia 😂😂😂
Wangapi tunaoipenda kazi ya nakuja tujuane hapa 🎉🎉🎉🎉
kipara jmn ety ukiambiwa uzalie hapa utakubali😂😂😂
Nakubali msimamo wa nilo😂