Wewe rafael acha uwongo sisi timu yetu inafanya vizuri hizo takwimu zako ni zako tu
G
gaelhenriquedapaz4052 months ago
Ni kitu Gani kinawafanya muone kuwa simba watashinda mechi zote? Na Yanga watafungwa au kutoa sare?
D
daniel_garcia2 months ago
Mmekwama
B
brianmartin4402 months ago
Hamna kipindi kibaya kama hiki
V
vanessa_carlson2 months ago
Kipindi chaumbea
A
andrea_hodges2 months ago
Mbona hamjafili.marefa?
B
bradley.page2 months ago
SIYO KWELI Hans WeWe unakariri TU mambo msimu huu
E
elaine_fry2 months ago
Hao jama wanataka simba mwaka huu achukuwe ubingwa
D
dawn_horton2 months ago
Rafael amebadilika zamani alikuwa anaongea ukweli kuhusu yanga sasaivi alipigwa vita na kina jemedari geflea pomkai
R
robert_richardson2 months ago
DADA AMETAKA KUONESHA POINT AMBAYO NI FACT FASTER WAMEMDAKIA ASISEME KWAMBA MBONA BADO ANAONGOZA LIGI NA SIMBA ANABEBWA MNO MFANO GOLI LA MPANZU LA BAADA YA CHAMA KUKOSA PENATI
K
kamilly_sousa2 months ago
Huyu geoflea nae muongo depu ALIKUWA majeraha amepona na anpewa nafasi na haoneshi UBORA wake na HATA alipokuwa Pedro hakuwa Bora japo ALIKUWA anaanza dube ALIKUWA Bora japo hakuwa anaanza
Wewe rafael acha uwongo sisi timu yetu inafanya vizuri hizo takwimu zako ni zako tu
Ni kitu Gani kinawafanya muone kuwa simba watashinda mechi zote? Na Yanga watafungwa au kutoa sare?
Mmekwama
Hamna kipindi kibaya kama hiki
Kipindi chaumbea
Mbona hamjafili.marefa?
SIYO KWELI Hans WeWe unakariri TU mambo msimu huu
Hao jama wanataka simba mwaka huu achukuwe ubingwa
Rafael amebadilika zamani alikuwa anaongea ukweli kuhusu yanga sasaivi alipigwa vita na kina jemedari geflea pomkai
DADA AMETAKA KUONESHA POINT AMBAYO NI FACT FASTER WAMEMDAKIA ASISEME KWAMBA MBONA BADO ANAONGOZA LIGI NA SIMBA ANABEBWA MNO MFANO GOLI LA MPANZU LA BAADA YA CHAMA KUKOSA PENATI
Huyu geoflea nae muongo depu ALIKUWA majeraha amepona na anpewa nafasi na haoneshi UBORA wake na HATA alipokuwa Pedro hakuwa Bora japo ALIKUWA anaanza dube ALIKUWA Bora japo hakuwa anaanza