LIVE CROWN SPORTS:YANGA SC YAUTAKA UBINGWA WA LIGI KUU YA NBC MARA TANO MFULULIZO/ SIMBA SC YAJIKAZA MBIO ZA UBINGWA.
ADVERTISEMENT
Comments 11
Sign in to join the conversation
Sign inLIVE CROWN SPORTS:YANGA SC YAUTAKA UBINGWA WA LIGI KUU YA NBC MARA TANO MFULULIZO/ SIMBA SC YAJIKAZA MBIO ZA UBINGWA.
Sign in to join the conversation
Sign in
Huyu geoflea nae muongo depu ALIKUWA majeraha amepona na anpewa nafasi na haoneshi UBORA wake na HATA alipokuwa Pedro hakuwa Bora japo ALIKUWA anaanza dube ALIKUWA Bora japo hakuwa anaanza
SIYO KWELI Hans WeWe unakariri TU mambo msimu huu
DADA AMETAKA KUONESHA POINT AMBAYO NI FACT FASTER WAMEMDAKIA ASISEME KWAMBA MBONA BADO ANAONGOZA LIGI NA SIMBA ANABEBWA MNO MFANO GOLI LA MPANZU LA BAADA YA CHAMA KUKOSA PENATI
Hao jama wanataka simba mwaka huu achukuwe ubingwa
Rafael amebadilika zamani alikuwa anaongea ukweli kuhusu yanga sasaivi alipigwa vita na kina jemedari geflea pomkai
Kipindi chaumbea
Hamna kipindi kibaya kama hiki
Mmekwama
Mbona hamjafili.marefa?
Ni kitu Gani kinawafanya muone kuwa simba watashinda mechi zote? Na Yanga watafungwa au kutoa sare?
Wewe rafael acha uwongo sisi timu yetu inafanya vizuri hizo takwimu zako ni zako tu