MZEE MAGOMA ACHAFUKWA TUNACHEZA IRIZAR YA SIMBA AKATI TUMEDHULUMIWA UWANJA//SIMBA WAMETUZIDI MBALI
ADVERTISEMENT
Comments 20
kerry_nicholson:
MAGOMA ashasema lile sio bus, lile ni IRIZAAAAR!
More Like This
14:14
SALAMBA- JE YANGA WAMEFUNGIWA KUSAJILI⁉️WAPINZANI WAO CAF NI... SIMBA WAMEPEWA MCHEKEA | UBINGWA UPO
Sports
60
0
0:35
BEKI YA KUSHOTO YA SIMBA MZEE WAKUJITUTUMUA
Sports
217
0
7:29
🛑#LIVE: WAJUE GABORONE UNITED WAPINZANI WA YANGA CAF,HAPA YANGA WAJIPANGE VIZURI
Sports
0
0
10:50
SIMBA UNYONGE BASI! JAYRUTY AWEKA PESA NDEFU KUMLETA GELSON DALLA! ANAJUWA SOKA BALAA! MOTO UTAWAKA!
Sports
112
0
9:17
AHMED ALLY ATANGAZA NAMBA 6 YA SIMBA KUELEKEA SIMBA DAY
Sports
157
0
0:44
UZI WA YANGA UNACHEKESHA SANA
Sports
400
0
0:12
YANGA SC VS GABORONE SC CAF CHAMPIONS LEAGUE
Sports
100
0
1:21
Ranking funniest basketball moments 😭🙏#usa #basketball #shorts #funny
Sports
82.7k
0
You've reached the end
MAGOMA ashasema lile sio bus, lile ni IRIZAAAAR!
😂😂😂 lile sio basi, basi analo Yanga... lile ni IRIZAR!! MAGOMA nimekuelewa!!
Mzee magoma mitano tena
Mzee kaogea ukweli sana wenye akili ndo watajua
Huyu mzee ana busara watamkumbuka
Magoma umemjibu uyo moto mwenye kamasi kamwe,yanga Wana bas,Simba Wana Iziraaaa,magoma umepiga pa kubwa.
Mzee namuona yupo kwenye Tommy
Mungu atupe uhai mrefu tu, lakini ipo siku Magoma wanayanga watakuja kukuelewa.Lakini watakua wamekumbuka shuka kukiwa kumekucha
Ipo siku watakuja kukukumbuka kwa sasa wanakuzarau
Mzee magoma IPO siku watamuelewa ila tutakua tumechekewa Wana yanga
50 kwa 50 uwanja sio kumiliki timu jitambue mzee
bus wanalo yanga ila simba ina Irizer😂😂😂😂😂 ila magoma
😂😂😂 Magoma nimekuelewa sana 😂😂😂 wanachama wa yanga ni mbumbumbu kama ng'ombe tu😂😂😂
Mzee magoma nakukubali sana wee ni kioo msema kweli 😂😂
Shule muhimu sana
Ajitambui uyo mpenda pesa watu wamemzalau uyo
😂😂😂😂alikamwe ni simba magoma uliongea kwer
Mm Simba lakini hapo kwenye 50/50 kwa deal la Maendeleo ni sawa (Huo sio umiliki) hata serikali anaingiaga hizi contract maana muwekezaji anaweka hela na Yanga ni wenye mali, so haitakiwi mmoja awe na nguvu,maana anaweza mfukuza mwenzake ila ni wanagawana faida nusu kwa nusu baada ya matumizi na kodi. Tatizo mkataba umekuwa siri sana na hauna kikomo. Mikataba ya namna hii inatakiwa iwe na kikomo ili muwekezaji akirudisha hela yake atimue amwachie mwenye mali yake uhuru.
Kama kusifia maendeleo si ulikuwa usifie Yanga walipozindua ujenzi wa uwanja ulihoji 50/50 ulisahau kuwa uwanja ni miongoni mwa maendeleo, akili za AI. Chuki binafsi kukosa 10%.
Naomba kuhoji, sio kwa ubaya et, mkataba wa uwanja wa yanga 50/50 ukomo wa umiliki kwa muwekezaji ni upi, miaka mingap au pamekaaje apo??