Tyr kumeanza kuchangamka Naona mara hii watapasuana ila muhindi yupo sahihi
G
gabriela.miranda2 months ago
Kweli kabisa nipo pamoja nawewe tuone BL tutajua kama gari mpya uo ni usanii
C
carol_atkinson2 months ago
Mhindi Leo ndio kwanza umesema ukweli toka uzaliwe kwenu.
eloah_damata2 months ago
Katika siku niliyomuelewa muhindi ni Leo kwenye hii cripu
M
maríacristina_deanda2 months ago
Huwo wko niujinga ww umetowa kiasi gani?
Z
zoé_rousset2 months ago
Jeruti anawazalau wana Simba dah ile gari sio mpya bana😢
ekani_goswami2 months ago
Ile bus ilikua inasombea samaki zaidi ya miaka 6 tairi mbovu Rim imeliwa,na maji chumvi kutu kibao aibu makolo😅😅😅😅😅😅😂
virginiedelta142 months ago
Leo nimekupenda umeongea ukweli
B
beth_burton2 months ago
Masikini hawezi kuchagua chakula 😂😂😂😂😂 . Gari used mbona hamjawahi kununua? Maneno mengi hela huna😂😂😂😂😂😂. Kwanza mshukuruni jayrutty mmepewa used 🤣🤣🤣🤣🤣
R
robin_eaton2 months ago
Wewe mhindi unasema tumepigwa ulitoa sh.ngapi?aliyetoa ahadi katuletea hiyo mwambie aliyekutuma alete mpya sisi tunaitaka hiii
D
daniel_garcia2 months ago
Uyu Muuza Mbaanzi Alitaka Moo Ndoanunue Iyo Gar et Hutaki hiyo Gar Wewe Ninani Sasa Pumbambu
C
corinne.daniel2 months ago
Jamani mmepewa gari lkn bado mnalichambua
N
nermin.täsche2 months ago
Wewe umetoa shs ngapi yaani upeqe kitu bure alafu unapiga kelele
ross_shepherd2 months ago
SIMBA MAFANIKIO YAO YA MBALI SANA MAANA KUNA VITA VYA MATAJIRI UYU JAMAA YUPO UPANDE WA MO NDIO ANALETA IZO HOHA SASA ILIKUA AMUAMBIE MO ALETE IYO MPYA SIMBA HAIJAKATAA KUPOKEA IRIZA YA MO
V
vasudha_khanna2 months ago
Huwezi leta gari used uko sahihi
A
aprilclark9602 months ago
Chakupewa Aina Kuchagua. Chukueni Tu. Swadaka Hakuna Kuchagua Bhana.
M
mohammed.barrett2 months ago
Tutolee ujinga wako sisi.
priya_ghose2 months ago
Sisi tumekubali we chawa tu unaleta vita ya matajiri
Tyr kumeanza kuchangamka Naona mara hii watapasuana ila muhindi yupo sahihi
Kweli kabisa nipo pamoja nawewe tuone BL tutajua kama gari mpya uo ni usanii
Mhindi Leo ndio kwanza umesema ukweli toka uzaliwe kwenu.
Katika siku niliyomuelewa muhindi ni Leo kwenye hii cripu
Huwo wko niujinga ww umetowa kiasi gani?
Jeruti anawazalau wana Simba dah ile gari sio mpya bana😢
Ile bus ilikua inasombea samaki zaidi ya miaka 6 tairi mbovu Rim imeliwa,na maji chumvi kutu kibao aibu makolo😅😅😅😅😅😅😂
Leo nimekupenda umeongea ukweli
Masikini hawezi kuchagua chakula 😂😂😂😂😂 . Gari used mbona hamjawahi kununua? Maneno mengi hela huna😂😂😂😂😂😂. Kwanza mshukuruni jayrutty mmepewa used 🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe mhindi unasema tumepigwa ulitoa sh.ngapi?aliyetoa ahadi katuletea hiyo mwambie aliyekutuma alete mpya sisi tunaitaka hiii
Uyu Muuza Mbaanzi Alitaka Moo Ndoanunue Iyo Gar et Hutaki hiyo Gar Wewe Ninani Sasa Pumbambu
Jamani mmepewa gari lkn bado mnalichambua
Wewe umetoa shs ngapi yaani upeqe kitu bure alafu unapiga kelele
SIMBA MAFANIKIO YAO YA MBALI SANA MAANA KUNA VITA VYA MATAJIRI UYU JAMAA YUPO UPANDE WA MO NDIO ANALETA IZO HOHA SASA ILIKUA AMUAMBIE MO ALETE IYO MPYA SIMBA HAIJAKATAA KUPOKEA IRIZA YA MO
Huwezi leta gari used uko sahihi
Chakupewa Aina Kuchagua. Chukueni Tu. Swadaka Hakuna Kuchagua Bhana.
Tutolee ujinga wako sisi.
Sisi tumekubali we chawa tu unaleta vita ya matajiri
Heeee
Wivu tu chawa wa mo