KABWE AIBUKIA SAKATA la BASI LINALOSEMEKANA ni 'USED' la SIMBA - AWACHANA YANGA UKWELI KUHUSU UWANJA ============================================================= ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 760 403894 or 255 783 45136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO ⚫️ MAKALA ZA WATU MAARUFU ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
ADVERTISEMENT
Nimi aka mingapi mumeahidiwa kujengewa uwanja toka heris aingie kwenye uongozi wa yanga hamujitambui km sio washamba kwanni muliongelee basi lasimba km roho haziwaumi naushamba
Yanga kumiliki TaTa bus ni sawa na Mtu kuwa na simu itel, hata iwe mpya ukweli ni kwamba haina mvuto wala haina maana! haibu tupu!!
Ujenz ni process na we inakuhusu nin na unaonekana nimshabik wa Simba yanga unaisema sana guey nan
Sisi yanga hatuna ulimbukeni wa magari sisi lengo letu ni uwanja
Yanga uwanja sahau kabisaaaa
Nyie yanga uwanja wenu uko wp?
Simba nguvu moja
Uwanja mnao sasa?.
Ni jipya au Used?
Irza ni kampuni ya ujenzi wa bodi ya basi sio aina ya gari hata ukipeleka tata wanakusukia body kuna benz/ scania/ volvo tambueni watanzani irza kama macoporo ni kampuni ya ujenzi bod ya mabasi
Nchi hii kuna SCANIA 113 zimetengenezwa 1989 na zinakuja Tz zinabeba mzigo bandarini Dar to Congo iwe ajabu ya IRizar la 2021? Jameni
Simba haishindani na yanga,, ila yanga ndio wanashindana na simba😅😅
We dada kuwa nahishima unapo mhoji kabwe usde niletu vo umetumwa
Alikamwe Anaumeyasanaa kwabaslasimba
Ukubwa wa timu ni makombe tena makubwa sio ya ndani ya kuhonga marefa
Yaani timu zetu hazina mpango kabisa na ndio maana sishabikii timu za kibongo. Yaani basi kweli ni kitu cha kupigia kelele hivi!! Mashabiki wanatakiwa kuongelea makombe makubwa ya africa sio basi jamani.
Umbeya unatokana na mtu alokuwa hana kazi na hao miongoni mwao hawana kazi
Hata Uwanja Wa Mazoezi Hmna Mtaazima Viwanja Mpaka Kini ?
Yanga wana TATA
Inno alipata majeruhi na mzee magori alijibuuu luemba hakumtafuta luomba yy alilipa tu sio jayruty ndo alimleta