KABWE AIBUKIA SAKATA la BASI LINALOSEMEKANA ni 'USED' la SIMBA - AWACHANA YANGA UKWELI KUHUSU UWANJA ============================================================= ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 760 403894 or 255 783 45136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO ⚫️ MAKALA ZA WATU MAARUFU ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
ADVERTISEMENT
Alikamwe Anaumeyasanaa kwabaslasimba
Na basi la Yanga sio Yutong ni TATA
Nchi hii kuna SCANIA 113 zimetengenezwa 1989 na zinakuja Tz zinabeba mzigo bandarini Dar to Congo iwe ajabu ya IRizar la 2021? Jameni
Hata Uwanja Wa Mazoezi Hmna Mtaazima Viwanja Mpaka Kini ?
Uko wapi uwanja huo sasa, acheni ujinga nyie, mnadanganywa na kuburuzwa ka madodoki vile!? Miaka nenda miaka rudi??!
Yanga uwanja sahau kabisaaaa
Ujenz ni process na we inakuhusu nin na unaonekana nimshabik wa Simba yanga unaisema sana guey nan
Tushamaliza suala la bus,sisi Simba tuamie suala la uwanja WA watu 40,000.simba ni timu kubwa cyo uwanja watu 20,000. Hao wanaojadili bus tu acheni nao ni suala dogo kwa Simba nguvu moya!
Ukubwa wa timu ni makombe tena makubwa sio ya ndani ya kuhonga marefa
Yaani timu zetu hazina mpango kabisa na ndio maana sishabikii timu za kibongo. Yaani basi kweli ni kitu cha kupigia kelele hivi!! Mashabiki wanatakiwa kuongelea makombe makubwa ya africa sio basi jamani.
Yanga wana TATA
Inno alipata majeruhi na mzee magori alijibuuu luemba hakumtafuta luomba yy alilipa tu sio jayruty ndo alimleta
Simba haishindani na yanga,, ila yanga ndio wanashindana na simba😅😅
Umbeya unatokana na mtu alokuwa hana kazi na hao miongoni mwao hawana kazi
Yanga kumiliki TaTa bus ni sawa na Mtu kuwa na simu itel, hata iwe mpya ukweli ni kwamba haina mvuto wala haina maana! haibu tupu!!
Uwanja mnao sasa?.
Irza ni kampuni ya ujenzi wa bodi ya basi sio aina ya gari hata ukipeleka tata wanakusukia body kuna benz/ scania/ volvo tambueni watanzani irza kama macoporo ni kampuni ya ujenzi bod ya mabasi
Yanga kweli vyura hasa mashabiki maana tangu waidiwe uwanja mpaka kesho ishakuwa stori kweli ni wajinga
Nyie yanga uwanja wenu uko wp?
Ni jipya au Used?