0:00
23:26
23:26

KABWE AIBUKIA SAKATA la BASI LINALOSEMEKANA ni 'USED' la SIMBA - AWACHANA YANGA UKWELI KUHUSU UWANJA

Sports

KABWE AIBUKIA SAKATA la BASI LINALOSEMEKANA ni 'USED' la SIMBA - AWACHANA YANGA UKWELI KUHUSU UWANJA ============================================================= ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 760 403894 or 255 783 45136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO ⚫️ MAKALA ZA WATU MAARUFU ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

ADVERTISEMENT

Comments 26

Sign in to join the conversation

Sign in
vincent_keer
vincent_keer 3 days, 14 hours ago

Alikamwe Anaumeyasanaa kwabaslasimba

B
brittany.gutierrez 3 days, 18 hours ago

Na basi la Yanga sio Yutong ni TATA

lakshmiatlas43
lakshmiatlas43 3 days, 18 hours ago

Nchi hii kuna SCANIA 113 zimetengenezwa 1989 na zinakuja Tz zinabeba mzigo bandarini Dar to Congo iwe ajabu ya IRizar la 2021? Jameni

V
vincent_webb 3 days, 19 hours ago

Hata Uwanja Wa Mazoezi Hmna Mtaazima Viwanja Mpaka Kini ?

F
franklinvelvet77 3 days, 20 hours ago

Uko wapi uwanja huo sasa, acheni ujinga nyie, mnadanganywa na kuburuzwa ka madodoki vile!? Miaka nenda miaka rudi??!

eloah_damata
eloah_damata 4 days, 6 hours ago

Yanga uwanja sahau kabisaaaa

H
hans-heinrich.segebahn 4 days, 6 hours ago

Ujenz ni process na we inakuhusu nin na unaonekana nimshabik wa Simba yanga unaisema sana guey nan

C
charles_sandoval 4 days, 6 hours ago

Tushamaliza suala la bus,sisi Simba tuamie suala la uwanja WA watu 40,000.simba ni timu kubwa cyo uwanja watu 20,000. Hao wanaojadili bus tu acheni nao ni suala dogo kwa Simba nguvu moya!

N
naksh_chaudhry 4 days, 7 hours ago

Ukubwa wa timu ni makombe tena makubwa sio ya ndani ya kuhonga marefa

valentim_darocha
valentim_darocha 4 days, 7 hours ago

Yaani timu zetu hazina mpango kabisa na ndio maana sishabikii timu za kibongo. Yaani basi kweli ni kitu cha kupigia kelele hivi!! Mashabiki wanatakiwa kuongelea makombe makubwa ya africa sio basi jamani.

B
bertrand_charpentier 4 days, 7 hours ago

Yanga wana TATA

S
sabrina_king 4 days, 7 hours ago

Inno alipata majeruhi na mzee magori alijibuuu luemba hakumtafuta luomba yy alilipa tu sio jayruty ndo alimleta

M
martinemarion431 4 days, 7 hours ago

Simba haishindani na yanga,, ila yanga ndio wanashindana na simba😅😅

L
laurie.morgan 4 days, 8 hours ago

Umbeya unatokana na mtu alokuwa hana kazi na hao miongoni mwao hawana kazi

kristen_brooks
kristen_brooks 4 days, 8 hours ago

Yanga kumiliki TaTa bus ni sawa na Mtu kuwa na simu itel, hata iwe mpya ukweli ni kwamba haina mvuto wala haina maana! haibu tupu!!

W
william_grant 4 days, 8 hours ago

Uwanja mnao sasa?.

N
nadiaaether4 4 days, 8 hours ago

Irza ni kampuni ya ujenzi wa bodi ya basi sio aina ya gari hata ukipeleka tata wanakusukia body kuna benz/ scania/ volvo tambueni watanzani irza kama macoporo ni kampuni ya ujenzi bod ya mabasi

J
joe_hammond 4 days, 8 hours ago

Yanga kweli vyura hasa mashabiki maana tangu waidiwe uwanja mpaka kesho ishakuwa stori kweli ni wajinga

J
jenniferfoley328 4 days, 8 hours ago

Nyie yanga uwanja wenu uko wp?

gaelhenrique_farias
gaelhenrique_farias 4 days, 8 hours ago

Ni jipya au Used?