Nuru ni drama ya Kiswahili inayosimulia maisha,usaliti,mapenzi na changamoto za kila siku.Ni tamthilia ya East Africa inayoangaliwa na watazamaji wengi wa Africa na Diaspora wanaoishi USA,Canada na Ulaya. 🔥Tazama Episode 93 ya NURU hapa - sehemu muhimu za maisha,mapenzi na siri zinazofichuka. 🔔SUBSCRIBE for more episodes of NURU every week! 💬Acha comment yako-unampenda zaidi nani kwenye tamthilia hii? Hashtags: #Nuru #swahilidrama #EastAfricanSeries #bongomovies #swahiliseries
ADVERTISEMENT
Sijawahi Muona mwenye haki Ameachwa Jina la Mungu Lina nguvu sana Aya sasa Adrian. Tunafurah anguko la Adrian comment hapa 4:13
Tuliyo furahi kile chungu kuvunjika tujuwane Mungu mukubwa sana🎉🎉🎉
Amken jaman chungu kimevunjika🎉🎉😂😂❤❤
Walio amini kuwa mungu wetu ni mukubwa tu gonge like
Km na wew unaamn kuwa Mungu ndiye kila kitu ktk maisha ako dondosha like zako hapa
Sijawai komenti ila leo nimekomento..asante mungu kwa kujidhihirisha
Hii vita ya reonald na adrian ni ngumu😂
Mungu amfungulie milango ya kher na baraka kwa kila atakayekuwa anasoma comment hii
Tuliofurahishwa na anguko la Adrian 😂😂 like hapa
sawaa adrian ulichokitafuta umekipataa😂😂😂🙌
Asant mungu kwakupigana na vita ya Ronald ❤❤❤❤
Aliekuwa hampendi adrian na amefurahia kilichomkuta gonga like
Kila siku inavyo zidi kwenda na movie inazidi kuwa nzuri hongereni kwa kazi nzuli
Safi sana Adrian kazi unayo, wa kwanza leo
kuvunjika kwa chungu nimedhan tumepata nuru kumbe bado tuko gizan
Kwa sababu move yetu Leo imenifulahisha nawapa like mwe wote mumecomanter❤❤
Jina LA bwana mungu liifimiwe na watu wote🙏🙏
I'm the first from Uganda😅
Hahah John amesnichekesha jamn nlikua stak kukoment ila imenibid nikoment
Zaburi 35:1 Ee Bwana, utete nao wanaoteta nami, Upigane nao wanaopigana nami.