Inasikitishaπ" Hii Ndiyo Sababu ORHAN kutokuwepo kwenye Movie ya ORHAN.
Orhan na sababu ya kutokuwepo kwenye movie ya THE ORHAN
ADVERTISEMENT
Comments 100
karen_larson:
Mwanzo nilikua siielewi lakin saiv naanza kuipenda baada yaβ¦
More Like This
27:23
THE CHESS | 14 | Love Story π #love #dontatv #penzilamtotowaboss #monalisa #firstlove
Entertainment
9.7k
100
0:16
don't touch the boyfriend with me. π€£π€£π€£#shorts#siapin#tiktokshop#vrial
Entertainment
34.8k
31
2:19
They Took Her Late Husbandβs TruckβThen She Learned Why #kindness #shortfilm
Entertainment
38.8k
100
0:18
When Your Sister Ruins Your Birthday...
Entertainment
23.7k
0
0:38
ζ ΌζΈ©ε«ζΆε¦δ»οΌ#cosplay #shorts #SpiderMan
Entertainment
66.3k
34
1:49:44
IN LOVE WITH A FOOD SELLER - JOHN EKANEM , MERCY ISOYIP 2026 EXCLUSIVE NOLLYWOOD MOVIE
Entertainment
4.1k
100
1:31:53
IYA OMO Latest Yoruba Movie 2026 l Damilola Oni, Lanre Adediwura, Adekunle Akanbi
Entertainment
2.8k
100
0:17
Bro chose the polite approach ππ₯
Entertainment
120.1k
100
You've reached the end
Mwanzo nilikua siielewi lakin saiv naanza kuipenda baada ya kurejesha sauti ya orhani....ila dah! Kama kweli kafiwa nampa pole sanaππ
Oh kumbe pole sana
Kama orohn kapata matatizo bola waendeleze ottoman
Ottoman kwasasa Haina raha kabisaaa nobasitu ma star wetu tume wa miss
Lakipia kwann othuman azeeke hivi na sauti wanatuwekea tofaut na wahusika wa mwanzo
Her iki oyunΓ§u iyi
Wamebadilisha watu wengi sana kuna Halima Fatuma balla
Ulikuwepo??????????????????
Hata kama amefiwa Sawa ila ukweli ni kwamba huwa wanamikata na hao wote ambao huwa wanatoweka season ikiwndelea mikataba Yao huwa inaishia hapo na ndivo ilivokuwa kwa wakina Osman Gaz orhan gonja oraphira mabent WA Osman na wengne na hata wale wakina Mehmet na familia yake mkataba uliisha, ni. Orhan ni kwamba wale wote ambao hawapo kampuni iliyochukua mwendelezo uliweka dau kwao ila dau likawa la chini walio kubali ndio hao mnaowaona wapo waliona dau ni dogo ndio hao ambao hamuwaoni
labda ww ndo ulie muua ila uongo jaman πππ
Mungu wanguπ’hata siwezi kuangaria hii movi maana siierrwi
Hakuna kilicho alibika mbona safi tyu, tunampenda aliepo kwa sasaβ€β€β€
Jamaa muongo sana Orhan mpaka hivi sasa anaigiza filamu nyengine na hakuna hiyo story mzee mimi hawa nawafatilia wote kwenye mitandao huko
Mm ht king'amuzi nimesusa kulipia maana nilikua naipenda sana Osman nikichelewa Saanne kurudi Huwa Sina amani
He is alive and acting new series I'm watching it
Mbaya sana sana π’
Me sijampenda orhan wa sasa mngetuletea kivuruge wetu
We bhana Muongo.. Nenda kafatilie vizuri.. huyu Emre Bey anasema wamemgeuka.. Hiyo sababu yako sio kweli
Sijampenda wa sasa
dhuuu noma kwa uwongo