Wanaumme wanne waliopata mateso kwenye ndoa zao wanaanzisha umoja wao .Wanajiwekea sheria kutorudi tena kwenye ndoa,na badala yake kutumia muda wao uliobaki kwa kazi na kula raha.
Je watafanikiwa..SENIOR BACHELORS 08
ADVERTISEMENT
Comments 94rebecca_anderson:
Matangazo kibaoo utambulisho wa majina bado nyimbo inachuku…
Matangazo kibaoo utambulisho wa majina bado nyimbo inachukua muda mrefu movie dakika 5 haloooo so mchezo Bigiii mpaka tukabaini kisasi tumechoka sanaaa
J
jeremy.mcintyre4 months ago
Kuna movi zingine bana yani uki angalia una jiskia raha sana JB kk unajua. Mkongwe ni mkongwe2
G
genaro.chavarría4 months ago
Oyaaaa uyu jamaaaa anae imba ni mkali ivi asei 👍👍😄
ekani_goswami4 months ago
Mola atufungulie milango ya kheir sote😊
diego_almeida4 months ago
Jitaid kuongeza dakika hii siitakua kma kombolela miaka 5 season 1 haijaisha lkn pia post kwawakati wiki mbili ep 2 serious af kakija kanakuja na dak 8/7 how
J
johnaura454 months ago
From Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 apa kama unaikubali iyi film shusha liké apa❤
claude.renard4 months ago
Hamna watu wengine kila siku ni hawa tu na location ni apo apo tu
howardandrews3124 months ago
JB nami Naomba likes niko shabiki wako wakitambo bado yutube hazijaja 🎉
L
lorraine_powell4 months ago
Ivan katisha😅
H
harryjames2114 months ago
JB fanya hata iende dakika 20 basi
gabinoirizarry3904 months ago
Jmn jmn uncle jb unatucheleweshea sana ety .... Fanya ata kwa Wiki mara3 tu ila usinifokee kama katanga wa zora😂😂😂😂😂😂😂
ekani_goswami3 months, 4 weeks ago
kwel movie dakika 5 halafu matangazo dakika 10 Umewahi kurogwa we baba😂😂😂
abigailbrown4824 months ago
Jb tuonee huruma week 2 ep 2 ya dk 13 alohhh
R
ross.woodward4 months ago
WA 1
D
daniel_wali4 months ago
Wa2
D
davimiguel_silveira4 months ago
Natamani kujua huyu Cha wote ana mpango gani na hawa jamaa😂😂😂😂 melody
E
ericarguello2664 months ago
Jb mnazingua sana kweli mnatengeneza hamu kwa mashabiki zenu kwa kukaa siku kadhaa bila kutoa kazi lakini mna Chelewesha sana, hamna consistency Yani hamjulikani siku mnayoachia kazi mpka mnauwa mashabiki zenuu.. move nzuri ila time mnayoichukua sio kweli
micheal_santiago3 months, 4 weeks ago
Unachelewesha sana yani duuh wiki nzima duuuh
M
maria_evans3 months, 4 weeks ago
Hii Idea nzuri lakini Kuna baadhi ya scenes zimekosa uhalisia kabisa😢
M
maríacristina_deanda3 months, 4 weeks ago
JB napenda vile unabyo tupa kitu chenye ubora wetu
Matangazo kibaoo utambulisho wa majina bado nyimbo inachukua muda mrefu movie dakika 5 haloooo so mchezo Bigiii mpaka tukabaini kisasi tumechoka sanaaa
Kuna movi zingine bana yani uki angalia una jiskia raha sana JB kk unajua. Mkongwe ni mkongwe2
Oyaaaa uyu jamaaaa anae imba ni mkali ivi asei 👍👍😄
Mola atufungulie milango ya kheir sote😊
Jitaid kuongeza dakika hii siitakua kma kombolela miaka 5 season 1 haijaisha lkn pia post kwawakati wiki mbili ep 2 serious af kakija kanakuja na dak 8/7 how
From Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 apa kama unaikubali iyi film shusha liké apa❤
Hamna watu wengine kila siku ni hawa tu na location ni apo apo tu
JB nami Naomba likes niko shabiki wako wakitambo bado yutube hazijaja 🎉
Ivan katisha😅
JB fanya hata iende dakika 20 basi
Jmn jmn uncle jb unatucheleweshea sana ety .... Fanya ata kwa Wiki mara3 tu ila usinifokee kama katanga wa zora😂😂😂😂😂😂😂
kwel movie dakika 5 halafu matangazo dakika 10 Umewahi kurogwa we baba😂😂😂
Jb tuonee huruma week 2 ep 2 ya dk 13 alohhh
WA 1
Wa2
Natamani kujua huyu Cha wote ana mpango gani na hawa jamaa😂😂😂😂 melody
Jb mnazingua sana kweli mnatengeneza hamu kwa mashabiki zenu kwa kukaa siku kadhaa bila kutoa kazi lakini mna Chelewesha sana, hamna consistency Yani hamjulikani siku mnayoachia kazi mpka mnauwa mashabiki zenuu.. move nzuri ila time mnayoichukua sio kweli
Unachelewesha sana yani duuh wiki nzima duuuh
Hii Idea nzuri lakini Kuna baadhi ya scenes zimekosa uhalisia kabisa😢
JB napenda vile unabyo tupa kitu chenye ubora wetu