Bongo zozo amlipua tena Chande. Ulaya watu hawapotei acheni kuropoka
ADVERTISEMENT
Comments 96
luce.antoine:
Hata kama kweli huko Ulaya wangekuwa wanapotea kwa nini ufi…
More Like This
27:23
THE CHESS | 14 | Love Story 💞 #love #dontatv #penzilamtotowaboss #monalisa #firstlove
Entertainment
9.7k
100
0:16
don't touch the boyfriend with me. 🤣🤣🤣#shorts#siapin#tiktokshop#vrial
Entertainment
34.8k
31
2:19
They Took Her Late Husband’s Truck—Then She Learned Why #kindness #shortfilm
Entertainment
38.8k
100
0:18
When Your Sister Ruins Your Birthday...
Entertainment
23.7k
0
0:38
格温嫉恶如仇!#cosplay #shorts #SpiderMan
Entertainment
66.3k
34
1:49:44
IN LOVE WITH A FOOD SELLER - JOHN EKANEM , MERCY ISOYIP 2026 EXCLUSIVE NOLLYWOOD MOVIE
Entertainment
4.1k
100
1:31:53
IYA OMO Latest Yoruba Movie 2026 l Damilola Oni, Lanre Adediwura, Adekunle Akanbi
Entertainment
2.8k
100
0:17
Bro chose the polite approach 😭🥀
Entertainment
120.1k
100
You've reached the end
Hata kama kweli huko Ulaya wangekuwa wanapotea kwa nini ufikiri kwamba ni jambo la kawaida kwa sababu eneo jingine watu hupotea pia
Hata wakipotea mwisho wa siku itajulikana kama aliuliwa au alihama nchi uchunguzi unafanywa tena wa hali ya juu chande acha ujinga kawadanganye wajukuu zako vijijini
Kizee kipumbafu sana hicho tatizo wanatuona sisi wananchi kama matako yao.
Bongo zozo sasa inaonyesha utu na upendo wako kwa wa Tanzania. Bigup
BARIKIWA SANA SANAAAAA BONGO ZOZO,,,,HUKU KWETU ELIMU NA MADARAKA HUBADILISHA WATU KUA CHIZI
Wazungu wamenyooka chukua hii👑👑
Hongera bongo zozo mtu mkweli😮
Asante sana bongo zozo tusaidie kumpeleka Othman chande ICC😂
Hakuna mzungu mjinga anashangaa tunadanganywa
Mzee kanunuliwa uyo
Utojaji achunguzwe akili
Huko ulaya watu wanapotea. Ni kweli na Kuna uchunguzi huwa unafanyika hata kwa miaka zaidi ya kumi.
Mzee Chande mpumbavu tena anawazimu
Kwani weemsenge unaitakia Nini nchi yetu ?? Siuwendekwenu???!
Wewe Mzungu njaa wacha unafki mimi nipo ulaya na watu wanapotea vile vile Kwahiyo wacha unafki
Tena huku ni HATARI wanapotea kiasi ambacho inatisha.
Chanda chende chindi chondo chundu mzee chandee
Uko ulaya gani? Angalia google. Zamani mlikuwa mnatudanganya.
Wejamaa nimuongo sana yani zozo shidayakonini
Asante bongo zozo kwa kutusaidia