EXCLUSIVE: "Amepewa talaka!" Juma Lokole Afichua Mazito Kuhusu Ndoa ya Hamisa mobeto, Aibu hii mmh..
ADVERTISEMENT
Comments 100
stéphane_lagarde:
Mtu aliyemkataa mtoto Bado anahangaika kuchat naye khaa mh …
More Like This
27:23
THE CHESS | 14 | Love Story 💞 #love #dontatv #penzilamtotowaboss #monalisa #firstlove
Entertainment
9.7k
100
0:16
don't touch the boyfriend with me. 🤣🤣🤣#shorts#siapin#tiktokshop#vrial
Entertainment
34.8k
31
2:19
They Took Her Late Husband’s Truck—Then She Learned Why #kindness #shortfilm
Entertainment
38.8k
100
0:18
When Your Sister Ruins Your Birthday...
Entertainment
23.7k
0
0:38
格温嫉恶如仇!#cosplay #shorts #SpiderMan
Entertainment
66.3k
34
1:49:44
IN LOVE WITH A FOOD SELLER - JOHN EKANEM , MERCY ISOYIP 2026 EXCLUSIVE NOLLYWOOD MOVIE
Entertainment
4.1k
100
1:31:53
IYA OMO Latest Yoruba Movie 2026 l Damilola Oni, Lanre Adediwura, Adekunle Akanbi
Entertainment
2.8k
100
0:17
Bro chose the polite approach 😭🥀
Entertainment
120.1k
100
You've reached the end
Mtu aliyemkataa mtoto Bado anahangaika kuchat naye khaa mh siwez kurudia matapishi
Hiii ss aibu kutaabika kote kule umepata mume unaleta ujinga kumbe huna adabu mungu kakuheshimisha nawe jiheshimu
Wewe hamisa daimond wa nini wewe kumbuka ali kuzalilisha jamani kama una kumbu kumbu mtoto mwenyewe ali kataliwa anakuja kuku halibia tu shoga angu hana mapenz na ww uyo😢 yaani mpaka nimejisikia vibaya kama mm dada ake azizi ki Dah
Hamisa jamani kwan kipi unakosa kwa aziz ki unataka kwenda kuhangaika na zuchu tena 😢😢
Mnapenda kumuombea Hamisa mbaya lakini Mungu ataruusu mabaya kwake
hamisa unatafuta nn zaidi ya upendo wa aziz ki??? tulia.
Ndoa za mastaa ni maigizo Tu.
Mungu wangu nn tena siamini ninachokiona
Vijijini kuna wana wake wazuri jamani msiowe wa mjini
Single mama hawaolewi😢😢😢, labda akuoneshe kaburi LA bwana ake na uchunguzi ufanyike kubaini ukweli
kama kweli naumia mimi
Ivi ni kweli hii jamani mbona ninasikitika sana😢
Kasha zoea kudanga
Huyu Aziz amepigwa Juju😂😂
Ulikuwepoooo 😂😂😂 ah jamaniiii
Umbea tu kwani huko kwao Hamisa hakuna wakubwa?
Pole
Kama ni kweli ACHANA na diamond ENDELEA na maisha na mume wako Aziz Ki
Hamisa umalaya tu
Kama anataka talaka yeye hamisa dini ya kiislam inamtaka arudishe mahari yote alitopewa hata angemzalia watoto 15 mwanaume aliyekuheshimisha Dunia nzima ilijua hamisa kaolewa Leo unafanya ujinga mbona mondi hakukuoa kama alikuwa anakupenda akamkataa mpaka mtoto anafikiri akiachwa na azizi mondi atamuoa?