EXCLUSIVE: "Amepewa talaka!" Juma Lokole Afichua Mazito Kuhusu Ndoa ya Hamisa mobeto, Aibu hii mmh..
ADVERTISEMENT
Comments 100
stéphane_lagarde:
Mtu aliyemkataa mtoto Bado anahangaika kuchat naye khaa mh …
More Like This
0:18
Do you have a friend this dramatic? 😭
Entertainment
109.5k
0
2:38
guys check this out, watch to the end 🤔
Entertainment
794
0
0:19
Which One Would You Grab? 🤔🎁🔥
Entertainment
58.2k
0
0:13
Now this song is STUCK in our HEADS! 🤪🍭🤣 | Triple Charm #Shorts
Entertainment
47.6k
0
0:33
Did You Put Your Hands In The Water ? #usnavy #navyseals #militarytraining #viral #soldier
Entertainment
53.8k
0
0:17
Allah SbDikhay ga 😭 #ytshorts #news #prayer #today #emotional #youtubeshorts#shorts
Entertainment
0
0
0:40
When you score but you’re Canadian 🇨🇦⚽️ #AD #FifaWorldCup
Entertainment
86.4k
0
1:48
🇯🇲 This Serious 🤔❗️
Comedy
0
0
You've reached the end
Mtu aliyemkataa mtoto Bado anahangaika kuchat naye khaa mh siwez kurudia matapishi
Hiii ss aibu kutaabika kote kule umepata mume unaleta ujinga kumbe huna adabu mungu kakuheshimisha nawe jiheshimu
Wewe hamisa daimond wa nini wewe kumbuka ali kuzalilisha jamani kama una kumbu kumbu mtoto mwenyewe ali kataliwa anakuja kuku halibia tu shoga angu hana mapenz na ww uyo😢 yaani mpaka nimejisikia vibaya kama mm dada ake azizi ki Dah
Hamisa jamani kwan kipi unakosa kwa aziz ki unataka kwenda kuhangaika na zuchu tena 😢😢
Mnapenda kumuombea Hamisa mbaya lakini Mungu ataruusu mabaya kwake
hamisa unatafuta nn zaidi ya upendo wa aziz ki??? tulia.
Ndoa za mastaa ni maigizo Tu.
Mungu wangu nn tena siamini ninachokiona
Vijijini kuna wana wake wazuri jamani msiowe wa mjini
Single mama hawaolewi😢😢😢, labda akuoneshe kaburi LA bwana ake na uchunguzi ufanyike kubaini ukweli
kama kweli naumia mimi
Ivi ni kweli hii jamani mbona ninasikitika sana😢
Kasha zoea kudanga
Huyu Aziz amepigwa Juju😂😂
Ulikuwepoooo 😂😂😂 ah jamaniiii
Umbea tu kwani huko kwao Hamisa hakuna wakubwa?
Pole
Kama ni kweli ACHANA na diamond ENDELEA na maisha na mume wako Aziz Ki
Hamisa umalaya tu
Kama anataka talaka yeye hamisa dini ya kiislam inamtaka arudishe mahari yote alitopewa hata angemzalia watoto 15 mwanaume aliyekuheshimisha Dunia nzima ilijua hamisa kaolewa Leo unafanya ujinga mbona mondi hakukuoa kama alikuwa anakupenda akamkataa mpaka mtoto anafikiri akiachwa na azizi mondi atamuoa?