Hii ndio tofauti ya ally kamwe na Ahmed ally.. Ally kamwe anajua mpira
micheal_santiago2 months, 3 weeks ago
Ally Kamwe ana akili kubwa ya mpira, kawatupa mbali wachambuzi wetu wengi. Mbali mno. ukiachilia mbali uwezo wake wa kuchambua mpira. Ana chambua kwa vigezo , natamani na wachambuzi wetu wakata kuni wajifunze kwake. Wapo waliowahi kuwa wahamasishaji, kweli ni wazuri. Ila ukitaka kusikiliza mpira, basi mtafute Kamwe. Nimemfuatilia toka anaandika mambo 10 aliyoyaona, mechi inapoisha, hajawahi ku bore. Ni smart sana aisee. Taifa lina hazina kubwa. Tunaye Dr Likey mpya na zaidi.
N
nicholas_bell2 months, 2 weeks ago
Ally kamwe ni mmoja tuu 💪💪 jamaah ana ubongo sanaa 🧠🧠
christine_woods2 months, 2 weeks ago
Big brain semaji Ally Kamwe
C
crystal_ramirez2 months, 3 weeks ago
Sema tu ukweli simba iko juu zaidi ya uto
luisquesada5242 months, 3 weeks ago
Ali anajua kuongea kuhusu mpira,,, hongera sana
T
trinidad_apodaca2 months, 2 weeks ago
Kamwe noma
M
michelle.ortega2 months, 3 weeks ago
Wachambuzi wanadai Yanga imeshuka ni aibu kwani wanaamini timu pinzani haziongezi ubora na ushindani
J
justin_brown2 months, 2 weeks ago
Nice
J
john.jensen2 months, 3 weeks ago
Hahahahaha duh ally anajua mpira kwakweli sasa apo studio mnafanya nini
H
heathermerritt952 months, 3 weeks ago
Kuusu Kouma sio kweli huyu kijana anajuwa sana ila hawamupi na fasi😮
D
dawn_horton2 months, 3 weeks ago
Ali kamwe anajua Mpira...Bora unawafundisha hawa wachambuzi wa Tz kitu
R
rebeccareynolds8952 months, 3 weeks ago
Tena mwaka huu Yanga nashinda tu kwa nguvu za gza na kununua mechi
V
victoire_chrétien2 months, 2 weeks ago
semaji la mpira
steven.gonzalez2 months, 3 weeks ago
Ni kweli yanga imeshuka lakini imeshuka dhidi yake mwenyewe huwezi sema simba iko juu na yuko nafasi ya pili kwenye ligi yuko juu ya nini?
kabir_khalsa2 months, 3 weeks ago
Umejibu kisomi
J
jamesrune242 months, 3 weeks ago
uyu dogo ana ongea nini sasa kuwangia Simba ili asiwaache mbali ndo useme Simba kashuka juzi juzi tuu apa mlishirikiana na BARKANE kuiujumu Simba MKAIPELEKA ZANZIBA kwaiyo yanga mnashiriki kuididimiza ligi ya Tanzania
joshuachen2822 months, 2 weeks ago
Wachambuzi wakiongea na Ally, Kuna namna wanakuwa wanamuogopa
A
ayushman.chaudry2 months, 3 weeks ago
Angepigiwa simu sasa yule mwingine bila kujiandaa ungesikia utumbo mtupu😂😂😂
M
maríacristina_deanda2 months, 2 weeks ago
Kiukwer huyu jamaa huwa sin mashaka kwa chochote anacho kifanya hata kama ni mlemavu wa kuelewa ukiona shabiki wa foot ball hujamuelewa huyu jamaa bas ww mpira haukuhusu kabisa
Hii ndio tofauti ya ally kamwe na Ahmed ally.. Ally kamwe anajua mpira
Ally Kamwe ana akili kubwa ya mpira, kawatupa mbali wachambuzi wetu wengi. Mbali mno. ukiachilia mbali uwezo wake wa kuchambua mpira. Ana chambua kwa vigezo , natamani na wachambuzi wetu wakata kuni wajifunze kwake. Wapo waliowahi kuwa wahamasishaji, kweli ni wazuri. Ila ukitaka kusikiliza mpira, basi mtafute Kamwe. Nimemfuatilia toka anaandika mambo 10 aliyoyaona, mechi inapoisha, hajawahi ku bore. Ni smart sana aisee. Taifa lina hazina kubwa. Tunaye Dr Likey mpya na zaidi.
Ally kamwe ni mmoja tuu 💪💪 jamaah ana ubongo sanaa 🧠🧠
Big brain semaji Ally Kamwe
Sema tu ukweli simba iko juu zaidi ya uto
Ali anajua kuongea kuhusu mpira,,, hongera sana
Kamwe noma
Wachambuzi wanadai Yanga imeshuka ni aibu kwani wanaamini timu pinzani haziongezi ubora na ushindani
Nice
Hahahahaha duh ally anajua mpira kwakweli sasa apo studio mnafanya nini
Kuusu Kouma sio kweli huyu kijana anajuwa sana ila hawamupi na fasi😮
Ali kamwe anajua Mpira...Bora unawafundisha hawa wachambuzi wa Tz kitu
Tena mwaka huu Yanga nashinda tu kwa nguvu za gza na kununua mechi
semaji la mpira
Ni kweli yanga imeshuka lakini imeshuka dhidi yake mwenyewe huwezi sema simba iko juu na yuko nafasi ya pili kwenye ligi yuko juu ya nini?
Umejibu kisomi
uyu dogo ana ongea nini sasa kuwangia Simba ili asiwaache mbali ndo useme Simba kashuka juzi juzi tuu apa mlishirikiana na BARKANE kuiujumu Simba MKAIPELEKA ZANZIBA kwaiyo yanga mnashiriki kuididimiza ligi ya Tanzania
Wachambuzi wakiongea na Ally, Kuna namna wanakuwa wanamuogopa
Angepigiwa simu sasa yule mwingine bila kujiandaa ungesikia utumbo mtupu😂😂😂
Kiukwer huyu jamaa huwa sin mashaka kwa chochote anacho kifanya hata kama ni mlemavu wa kuelewa ukiona shabiki wa foot ball hujamuelewa huyu jamaa bas ww mpira haukuhusu kabisa