MWAKINYO AFUNGUKA ALIVYOKUTANA NA CRAWFORD NCHINI MAREKANI "NILICHEZA NAE SPARINGI" #hassanmwakinyo #boxing #boxinghighlights #boxingnewsnow
Sign in to join the conversation
Nimemfuatilia jamaa kiukweli mabondia wetu wajifunze kufanya mazoezi ndio maisha ya boxer sio kushinda baa na kupigana vijembe tu ni ujinga
Mwakinyo yupo vizur anajitahid kujifunza kwa mabondia wakubwa mara kwa mara Alla akuzidishie kipaji zaid Mwakinyo
kwa huyu jamaa hata Mayweather haoni kitu kwa huyu mwamba yupo vizuri unatazama ngumi zake hadi unajiona kweli unatazama ngumi
Dada umetuokoa kumhoji huo jamaa maana wndishi wengine hapo ingekuwa kipengere
King 🤴
VIATU HAVIJA KUBANA LEO 😂😂😂
Mwakinyo hapa umeniibia ndege masaa 9 kwa gari masaa 3 duhhhh
Huyo ni rafiki wa JK sio mara ya kwanza kuja Tanzania
Huyu jamaa ni professional boxer na siyo mpaka piko wala hashindi barbershop/saloon
Sparring au show sparring, Smith TU umezingua ijekuwa ohama King, amazing 😮
Mwakinyo onesha ufundi ulingoni umeanza kuongea mno siku hizi mpaka una boa huna kitu tena ibra ndo wa sasa.😂😂
Daah nimefurahi ujio wa Bud, ila mwakinyo ulichoongea kuhusu Foreman ni kweli aisee
Yes dada nimekukubali Sana kumbe sio katika BSS tu
Inaonekana kakisudiya kwa gari siku 3 ndege masaa 9
Mwaikinyo acha ubabe, cheki mshikaji bingwa wa dunia lkn yuko simple
Brother.nipo.pangani..unatalent.mfom.the.god..ole.wao..wanotaka..kukuweka..black.list..na..kila..anayekufanyia..hassad..mungu..ampige..na..gonjwa..la..strock..your..the..best..of.the..africa...jazzakhallah.lukheryy..
Ya muda sana hii...
Nimemfuatilia jamaa kiukweli mabondia wetu wajifunze kufanya mazoezi ndio maisha ya boxer sio kushinda baa na kupigana vijembe tu ni ujinga
Mwakinyo yupo vizur anajitahid kujifunza kwa mabondia wakubwa mara kwa mara Alla akuzidishie kipaji zaid Mwakinyo
kwa huyu jamaa hata Mayweather haoni kitu kwa huyu mwamba yupo vizuri unatazama ngumi zake hadi unajiona kweli unatazama ngumi
Dada umetuokoa kumhoji huo jamaa maana wndishi wengine hapo ingekuwa kipengere
King 🤴
VIATU HAVIJA KUBANA LEO 😂😂😂
Mwakinyo hapa umeniibia ndege masaa 9 kwa gari masaa 3 duhhhh
Huyo ni rafiki wa JK sio mara ya kwanza kuja Tanzania
Huyu jamaa ni professional boxer na siyo mpaka piko wala hashindi barbershop/saloon
Sparring au show sparring, Smith TU umezingua ijekuwa ohama King, amazing 😮
Mwakinyo onesha ufundi ulingoni umeanza kuongea mno siku hizi mpaka una boa huna kitu tena ibra ndo wa sasa.😂😂
Daah nimefurahi ujio wa Bud, ila mwakinyo ulichoongea kuhusu Foreman ni kweli aisee
Yes dada nimekukubali Sana kumbe sio katika BSS tu
Inaonekana kakisudiya kwa gari siku 3 ndege masaa 9
Mwaikinyo acha ubabe, cheki mshikaji bingwa wa dunia lkn yuko simple
Brother.nipo.pangani..unatalent.mfom.the.god..ole.wao..wanotaka..kukuweka..black.list..na..kila..anayekufanyia..hassad..mungu..ampige..na..gonjwa..la..strock..your..the..best..of.the..africa...jazzakhallah.lukheryy..
Ya muda sana hii...