WHO AM I? MIMI NI NANI? Kai anaokoa Msichana wa ajabu aliyekuwa karibu kubakwa na Wahuni, kisha anampeleka nyumbani kwake bila kujua kuwa ameingiza siri kubwa ndani ya familia yake… Tatizo ni kwamba huyo Binti hajui yeye ni nani. Hana kumbukumbu ya maisha yake, lakini ana uwezo wa kushangaza usio wa kawaida… anaweza kusoma watu na kuona matukio yao yaliyopita. Kadri anavyoanza kuishi nyumbani kwa Kai, anagundua ukweli wa kutisha… Mke wa Kai anashirikiana na Mwanaume wake wa nje kupanga kumuua Kai kwa siri! 💔🔪 Je, huyu Binti ni nani hasa? Ni Malaika au laana? Kai ataamini ukweli kabla hajachelewa? Na nini kitatokea siri zote zitakapofichuka? Tamthilia yenye suspense kali, mapenzi, usaliti na nguvu za ajabu zitakazokuacha ukisubiri episode inayofuata kwa hamu! 🔥 Tazama sasa WHO AM I? kupitia BUSATI TV 💥
ADVERTISEMENT
Ila Kai 😂😂😂 unamdagany kwel Malaika wakati anauwez wakukusom Kila kitu Had nywel weee uogop Hatari San hii tamdhilia jaman huy Biti kanifurahisha San anawez had anawez ten🔥🔥🔥🔥🔥🔥Abby nae kuogop aaaa😂😂😂 anaigia ndan Kwa Watu kam kwake ila michepuk hii hasara tup
Kila inavp zidi kwenda mbele inazidi kua kali bonge moja la story 🎉🎉🎉🎉 nahc sasa nimepata sehem nzur na sahihi ya kuondoa mawazo bwana BUSATI TV hatari
Basi muongeze dakika na. Mjaribu kuileta mapema Jamani mivie yenyewe ni tamu Sana 😘😘😘😘😘😘😘
Nimechelewa ila nimefika
Nmeipendaa 🎉🎉❤❤❤😂😂
Movie nzuri sana hongerani wana busati tv🎉🎉🎉
Inapendez sana
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
16:32 huyu bibi mzurii❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
mimi ni nani lakini😂😂😂😂
Walikua tu naangalia sai tujuane na waiguru hupati kupumua kazi kwenda 😂😂😂😂
Kazi hii ni🔥🔥🔥🔥
Très bon vraiment
Mnachelewa sana
Munachelewesa sana 🇲🇿🇲🇿💯👏👏
tuliotoka tiktok tujuane
Aigooooo
Mashabiki zenu tunasubiri adi inakua hainogi mfanye hata kwa wiki mara mbili au hata tatu ndotuta enda vizuri😢😢😢
Sasa mbona kutoa mnachelewesha ivyo alafu vipande vifupi mnatoa 😢😢