WHO AM I? MIMI NI NANI? Kai anaokoa Msichana wa ajabu aliyekuwa karibu kubakwa na Wahuni, kisha anampeleka nyumbani kwake bila kujua kuwa ameingiza siri kubwa ndani ya familia yake… Tatizo ni kwamba huyo Binti hajui yeye ni nani. Hana kumbukumbu ya maisha yake, lakini ana uwezo wa kushangaza usio wa kawaida… anaweza kusoma watu na kuona matukio yao yaliyopita. Kadri anavyoanza kuishi nyumbani kwa Kai, anagundua ukweli wa kutisha… Mke wa Kai anashirikiana na Mwanaume wake wa nje kupanga kumuua Kai kwa siri! 💔🔪 Je, huyu Binti ni nani hasa? Ni Malaika au laana? Kai ataamini ukweli kabla hajachelewa? Na nini kitatokea siri zote zitakapofichuka? Tamthilia yenye suspense kali, mapenzi, usaliti na nguvu za ajabu zitakazokuacha ukisubiri episode inayofuata kwa hamu! 🔥 Tazama sasa WHO AM I? kupitia BUSATI TV 💥
ADVERTISEMENT
Tulio fanikiwa kuangalia who am i siku ya leo MUNGU awabariki sana🙏🙏 maana leo nisiku yenye baraka naamin hata hii kaz itakuwa nzur zaid na yenye mafunzo mengi ukwel nawapenda sana busatitv mbarikiwe sana kwa kaz nzur👏👏
Imechelewa sana alaf imekuj fupi munoo😢
KARIBU KATIKA WHATSAPP GROUP 👇👇 /JyrN7hIxoagKiVTISAAdm0
Jaman hii movie nzur sana inafundisha na inahuzunisha sana mwenyezi mungu awabaliki walio cheza hii movie
Mnachelewesha mpaka mtu anajisahau
Mumechelewesha sana 😢😢😢
HAHAH😂 MADEVU utahesabiwa nywele zakichwa Hadi MADEVU hayo mtoto SUMU huyo 🤣🤣🫣
Mbon imechelewa kutoka
mwendo wakufurahi tu tunaowakubali busati tujuane hapa
Nawatakien Eid Al-Adha Mubarak To All 🎉🎉🎉🎉💫✨
Vyema kbsa hii filamu ni miongoni mwa filamu nzuri sana muwe munatuburudisha bila kukawa kbsa
Kai Mbona mwachelewesha house of love
Nzuri Sana na ep3 mukaiharakishe hii furahavisipoe jameni
Kubwa sana hi kazi 🎉🎉🎉🎉🎉
Tunaendlea tulipo ishia hii ya moto sna mm ni nani????❤❤❤🎉🎉
Eeeh kumbe imetoka munajua kutufurahisha😂😂😂
Aigooooo
ASante director kusikiya ombi langu kuhusu huyu binti anavo igiza , hapa sasa na enjoy hatari amekaa sawa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
From tz🎉
🎉🎉🎉🎉🎉