Kiungo Allan Okello amefunga magoli mawili katika ushindi wa 3-1, Yanga dhidi ya Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam. Aliyeitanguliza Yanga kwenye mchezo huu alikuwa ni Duke Abuya, kabla ya Hassan Kabunda kuchomoa kipindi cha kwanza... na Allan Okello akapiga mawili kipindi cha pili. Haya hapa magoli...
ADVERTISEMENT
walio rudia marambili mbili goli la pili la Okello GONGA LIKE za kutoshaa👏👏
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI (Yohana14: 6 Warumi10:9-10).
Aina ya hilo goal la tatu kwa yanga na pili kwa Okello anafungaga Messi na Yamal pekee ake!
Okello ni Sawa na vyama 100😂😂
Huyo janja okelo mbona yupo moto sana like zake wakuuuu
Semen na namungo tawi letu shenz nyie 😂😂😂😂
OKELLO anafunga magoli ya kwenye e football 😂😂.. the kid you know
Okelo ataipa yanga ubingwa
Okello anaumiza ila Baraka Mpenja anakela 😅😅😅😅😅😂😂😂
Okelo mtu na nusu
Okello utauwa watu duuuuh 😳😳😄😄😄
Okelllooooooooooo ❤❤❤❤❤❤
Magoli Hayana kipengele tajiri
Yanga tuna Bahati na Wachezaji wa Uganda....Tuwatafute wengi zaidi.
Okello ni mchezaji mwenye hadhi ya kucheza Ulaya kabisa tena kwenye ligi kubwa tu,,ana akili nyingi mnoo
Bodi ya ligi rudishen ratiba kama mwanzo mabingwa ndo tuanze kucheza man simbilisi Wana limonia hawatakiwi kukaa Kilelen hat Kwa bahat mbaya
Star Bwoy Allan Okello🔥🔥🔥🔥🔥
Okello anapenda kujiamulia mambo kweliii yaaaan....😅😅😅
Allan okello 🔥
Okello akili mingii 🎉🎉🎉🎉🎉🎉