Me naomba wapewe adhabu Kali maana kama siyo wao wameua Kwa nn wametoloka alafu walinzi wawili bosi anauliwaje kazi Yao nn sasa hapo napinga na wamasai wanajikita kuwa Wana moli sana 😭😭😭
abigailbrown4823 weeks, 5 days ago
Ukikuta wamasai sio walomuua
maanaszachariah603 weeks, 6 days ago
Ingekuw china wangenyongwa Tanzania wanawafunga maisha mwisho wa siku wanatoka kisa wamebadilika tabia
T
tammy_white3 weeks, 6 days ago
Dash huluma
steven.gonzalez3 weeks, 6 days ago
inasikitisha ila ,isijekuwa kuna watu wengine tofauti ya walinzi ,waliomuua mchina na kuwateka walinzi .
Me naomba wapewe adhabu Kali maana kama siyo wao wameua Kwa nn wametoloka alafu walinzi wawili bosi anauliwaje kazi Yao nn sasa hapo napinga na wamasai wanajikita kuwa Wana moli sana 😭😭😭
Ukikuta wamasai sio walomuua
Ingekuw china wangenyongwa Tanzania wanawafunga maisha mwisho wa siku wanatoka kisa wamebadilika tabia
Dash huluma
inasikitisha ila ,isijekuwa kuna watu wengine tofauti ya walinzi ,waliomuua mchina na kuwateka walinzi .