Apo akuna kitu kwanza kachanganya changanya picha ili isionekane alikuwa Tanzania Tanzania Taifa linaangamia Kwa kukosa maarifa
C
crystal_ramirez2 months, 4 weeks ago
Bora hajampost galason na konda😂😂😂maana wanapenda misifa sana😂😂
priya_ghose2 months, 4 weeks ago
Kama Hana hata muonekano wakufurahia uwepo wake African sijuwi anatuona ajeee
C
charles_renard2 months, 4 weeks ago
sura ngum kama kiboko ss sio washamba wa watu weupe walitutawala mabeberu wakubwa haoo
R
robertvaleon362 months, 4 weeks ago
Kwahiyo tumemwambia apost😂
L
leon_williams2 months, 4 weeks ago
Leo ana influence Gani hasaaa ambayo inaweza kuiwezesha tz kuweza kufikia malengo yake kisoka !?
gabinoirizarry3902 months, 4 weeks ago
Reo 👍👊💪🔥🔥🔥
maanaszachariah602 months, 4 weeks ago
Sasa hapo mtu hasiyejua kama alikuja Tanzania atajuaje. Mbona mnatuona sisi wa Tanzania mambumbumbu😢😢😢😢
E
elaine_fry2 months, 4 weeks ago
Piga screenshots utuoneshe kama ameposti yeye, tuone page yake
graham_harvey2 months, 3 weeks ago
Sijui Rio atakuwa na impact kubwa kwenye soka letu au tourism.
L
lauragallegos9372 months, 4 weeks ago
Ujio wake Rio leo Na kabla ya ujio wake Tuta ona hapo baadae Lkn ni fursa moja muhimu Ktk sanaa ya michezo Tusibeze wa Tanzania
H
hakanhenk7472 months, 3 weeks ago
Usowake haukuonesha furaha kuja kwetu sijui kwann
L
luz_mireles2 months, 4 weeks ago
Hakuna issue
monica.proctor2 months, 3 weeks ago
Hakuna kitu apo 😅😅😅
J
julianafliegner8412 months, 4 weeks ago
Safi sana gwiji wa kabumbu.
J
james_west2 months, 4 weeks ago
Iyo yote sio ghalama yake adi amekuja na family yote 😂 shikamoo tz
S
stéphane_lagarde2 months, 4 weeks ago
WATANZANIA MUNA USHAMBA SANAAA
D
diane_thompson2 months, 4 weeks ago
Tanzania kuna baadhi ya watu ni watu wa kijinga wanataka tukio na matokeo yawe mara moja. Yaani mtu aje wajue kwa nini kaja na faida iliyopatikana siku hio hio. Mama alipofanya Royal Tour watu walitukana mitusi ya kila rangi koz hawakuona faida wakati ule, sasahivi Tanzania inaongoza kwa utalii Africa, millions of dollars zinaingia kama faida.
Tz Africa mungu tusaidie tupooo nyumaaa sana
Tuwaenzi wachezaji wetu wa Tanzania ❤❤❤❤
Apo akuna kitu kwanza kachanganya changanya picha ili isionekane alikuwa Tanzania Tanzania Taifa linaangamia Kwa kukosa maarifa
Bora hajampost galason na konda😂😂😂maana wanapenda misifa sana😂😂
Kama Hana hata muonekano wakufurahia uwepo wake African sijuwi anatuona ajeee
sura ngum kama kiboko ss sio washamba wa watu weupe walitutawala mabeberu wakubwa haoo
Kwahiyo tumemwambia apost😂
Leo ana influence Gani hasaaa ambayo inaweza kuiwezesha tz kuweza kufikia malengo yake kisoka !?
Reo 👍👊💪🔥🔥🔥
Sasa hapo mtu hasiyejua kama alikuja Tanzania atajuaje. Mbona mnatuona sisi wa Tanzania mambumbumbu😢😢😢😢
Piga screenshots utuoneshe kama ameposti yeye, tuone page yake
Sijui Rio atakuwa na impact kubwa kwenye soka letu au tourism.
Ujio wake Rio leo Na kabla ya ujio wake Tuta ona hapo baadae Lkn ni fursa moja muhimu Ktk sanaa ya michezo Tusibeze wa Tanzania
Usowake haukuonesha furaha kuja kwetu sijui kwann
Hakuna issue
Hakuna kitu apo 😅😅😅
Safi sana gwiji wa kabumbu.
Iyo yote sio ghalama yake adi amekuja na family yote 😂 shikamoo tz
WATANZANIA MUNA USHAMBA SANAAA
Tanzania kuna baadhi ya watu ni watu wa kijinga wanataka tukio na matokeo yawe mara moja. Yaani mtu aje wajue kwa nini kaja na faida iliyopatikana siku hio hio. Mama alipofanya Royal Tour watu walitukana mitusi ya kila rangi koz hawakuona faida wakati ule, sasahivi Tanzania inaongoza kwa utalii Africa, millions of dollars zinaingia kama faida.