PACHA WA SIMBA ACHEFUKWA NA USHINDI WA SIMBA | TUKUBALI SIMBA BILA KUBEBWA HATUTOBOI
ADVERTISEMENT
Comments 43
hans-hinrichhendriks264:
Hongera sana mdogo wangu.upo sahihi sana.pokea maua yako❤❤❤…
More Like This
0:18
Jason Ryles did NOT agree with this call... 😬
Sports
426
0
0:38
Edgar Davids’ Glasses Held Him Back 😮
Sports
3.0k
0
0:52
FOOTBALL HORSERACE: THE BIGGEST CLUB IN ENGLAND 🏴 #football #soccer #shorts
Sports
10.1k
0
0:24
bro got folded in football ✌️💀
Sports
0
0
0:29
RIP to this Robot 😭✌️
Sports
72.6k
0
0:24
Everything For THE GOAT!🐐
Sports
27.3k
0
8:52
DOGO YUSUPHU " HII YANGA NI HATARI KWA AFYA YAKO! Zimbwe Vs Boka!!
Sports
79
0
11:56
ALLY KAMWE ATEMA CHECHE”SELE BADO ANAPIKWA PAMOJA NA AZIZ KI”AMLIPUA MAGORI SIO KIONGOZI WA MPIRA
Sports
168
0
You've reached the end
Hongera sana mdogo wangu.upo sahihi sana.pokea maua yako❤❤❤❤❤❤❤
ukosawa brooo
Nikweli kabisa kaka
Ila huyu kaka anaongeaga ukweli sana mashabiki wa simba wengi mbumbuuuuuu
Mashabiki wote wa simba vichaa sanaa
DOGO MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI KWA UKWELI NAO UTAKUWEKA HURU.
Kwa mwenendo na staili hii kwa waamuzi na marefa kwa mahamuzi yao waende jangwani wakachukue kombe bila bila mechi kuisha
Nyinyi simnatafuta ubingwa kinguvu sasa nasema ivii hamtaupata ubingwa kwa zambi mtasota wayya miaka kumi hamtachukuwa ubingwa imeandikwa yanga bingwa fanyeni figisu mjuwe mungu anawaona
Sasa bila kubebwa Simba inashindaje??
Kweli kbsa Bila kupewa penat hamtoboi
🎉🎉🎉
Uko sahihi
❤❤😂😂
Wametumwa maelekezo hayo
Kwa Wanaojuwa Mpira Kama Wewe Wengine Kama Kisugu GB 64/Wale Mambubu Tuu
Mashabiki wa simba wanahakili kwann hawajawahi kuvunja viti meja uwanja wa jeshi JKT
GB 64 anasemaje kuhusu hili
Kisugu amesema kama marefa wapo sahihi bas yanga angekuwa anaongoza ligi
Bodi ya ligi wanataka Simba wachukue ili kubalansi
Simba ikifikia hatua hizi ina nunua ilimradi tu hapo ilipo sio sehemu yake kwa soka la kibongo hiyo ni nafasi ya Azam ki ukweli Bongo yanga,Azam,Simba,SBs.